Where is your point ESMA?Tatizo watu wengi hupenda kutoa sifa za mtu akiwa amekufa badala ya kumpatia Akiwa hai.
Kiukweli Diamond amejitahidi na ameweka juhudi katika kuutangaza mziki wetu kimataifa.
Harmonise anaharibu kwa kuanza kutoa maneno ya kejeli Mahali palipomsaidi kisa leo amekua na jina, angekumbuka wema mdogo wa mtu kukuthamini pale ambapo wengine walikua hawakuthamini( maana BSS walimtema)
Intellectually nayo ni sehemu mojawapo labda tu uwe hujazipitia vyema Principles za Research na huenda umesoma hadi Chuo ila hujaelimika pia.Unapima ubora wa uzi kwa replies???
Wewe unazo kweli kweli Ndugu hongera!Hauna points kabisa
HAPPY NEW YEAR 2021Naendelea kusoma comments
Ahsante sanaHAPPY NEW YEAR 2020
Kikubwa chalii asishindane na aliyemtoa kimaisha, ajitahidi kukaza buti apambane bila vimaneno vya shomboWhere is your point ESMA?
Achane na masinema haya msaidii chochote,jana uliponda leo unatafuta huruma.
Sawa H.babaswali gani Tena ilo ulisomea Lumumba?
Harmonize ndio msanii mkubwa kwasasa Tanzania Diamond kabaki jina
Jeshiiiiiiiii
Habari yako Juma lokoleSawa H.baba
Eti nasikia wewe ni dume jike, ndomaana harmo kakutemaš¤?Habari yako Juma lokole
Ulisikia wapi Da Juma lokoleEti nasikia wewe ni dume jike, ndomaana harmo kakutema[emoji848]?
Intellectually nayo ni sehemu mojawapo labda tu uwe hujazipitia vyema Principles za Research na huenda umesoma hadi Chuo ila hujaelimika pia.
HAPPY NEW YEAR 2021Nenda jukwaa la Tech & Intelligence kisha nenda MMU na Chitchat utaelewa nini kinaendelea Jf.
HAPPY NEW YEAR 2021
Kwa ufupi ni kwamba uzi wake umekaa mwaka mzima bila reply yoyoteIli uone kuwa umeandika Pumba na Kusifu Upuuzi Uzi umeuanzisha Saa 7 na dakika 59 Mchana 2020 post ya Kwanza ni Saa 6 Usiku Mwaka 2021.