Safi sana Harmonize kwa wimbo mpya wa Wapo

Safi sana Harmonize kwa wimbo mpya wa Wapo

Tatizo watu wengi hupenda kutoa sifa za mtu akiwa amekufa badala ya kumpatia Akiwa hai.

Kiukweli Diamond amejitahidi na ameweka juhudi katika kuutangaza mziki wetu kimataifa.

Harmonise anaharibu kwa kuanza kutoa maneno ya kejeli Mahali palipomsaidi kisa leo amekua na jina, angekumbuka wema mdogo wa mtu kukuthamini pale ambapo wengine walikua hawakuthamini( maana BSS walimtema)
Where is your point ESMA?
 
Ila tuacheni masihara na tuangalie ukweli uko wapi...hata kama nkngelikua mimi Diamond nisingefurahia anachomtendea huyu dogo.

1.Chawa wake H baba na Mwijaku kumtukana na kumkashifu
2.Kuimbwa kwa vijembe mpaka kumtafutia mtu anayefanana nae ili kukuchafua
3.Diamond alipojaza shoo ya kule Sudani ,Harmonize aliandika kwenye ukurasa wake kua anatumia uchawi na anamroga ili ashuke.

Na vingine vingi

Jana Harmonize kamplease Diamond asichukie na ajivunie na mambo mengi wakati huo huo ametoa ngoma inayomponda..ukiangalia mpaka hapo unaona huyu jamaa ni mtu wa aina gani ni mnafki mno atakuponda kukuchafua kisha anasoma upepo akiona haupo upande wake atakusifia hadharani kujikosha..

Diamond ni mswahili nae ana mambo ya uswahili kupitia Lokole,baba level na aristote lakini harmonize amemzidi mwenzake kwa unafki.

Ngoja tuone kama alichoongea jana Harmonize kama amemaanisha ,ni msanii mzuri ana nguvu afanye kazi zitaonekana na ni yeye ndiye the next king kama atautumia muda huu vizuri.
 
Konde boy
Screenshot_20210101-084559_Instagram.jpg
 
Kuna mstari mond aliimba kwamba "jahazi lina zama mola niokoe baba" kijana ana jarbu kuutumia vizuri
 
Back
Top Bottom