Sahihi ya Hayati Magufuli yageuka kivutio cha utalii kwenye Mahandaki ya SGR

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Imeelezwa na Wasimamizi wa Ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii!

Maelfu ya watu hufika kila siku kwenye mahandaki hayo na kupiga picha kwenye sahihi ya Magufuli na kuondoka zao. Hali hiyo imetafasiriwa kama upendo mkubwa walionao watu kwa rais huyo wa tano wa Tanzania.

 
Unakurupuka sana mkuu.

Hiyo saini iko wapi? Hamna hata picha?

Magufuli alitembelea mahandaki tarehe 21/06/2021 akitokea wapi, kuzimu?? Au unamaana mwanae Joseph Magufuli kaenda kutembelea SGR?
 
Unakurupuka sana mkuu.

Hiyo saini iko wapi? Hamna hata picha?

Magufuli alitembelea mahandaki tarehe 21/06/2021 akitokea wapi, kuzimu?? Au unamaana mwanae Joseph Magufuli kaenda kutembelea SGR?
Kachanganyikiwa huyo.Apewe pole na uji ili arudie hali yake.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta

Mkuu kama watanzania inawezekana labda kila mtu ana mshangaa mwenziwe, kama yale ya manyani vile.

Kumekuwa na mawazo ya kuwa labda hatufahamiani kiasi cha kuomba ufafanuzi rasmi kwako:


Ikikupendeza mkuu.
 
Kumbe Baregu hajafa wala babu zako hawajafa

Hili nalo limeelezwa sana mkuu:


Ni sahihi kwa mtu kusema lolote kuhusu kifo.
 
Mtasifia hadi fuvu la Marehemu kudadeki zenu ! Mataga kwisha kazi nyie
 
Magufuli alikufa. Hayupo. Kwishnei. Sahauni!

Na akitokea kiongozi mwingine mwenye kujiinua na kiburi kama yeye, Mungu atashughulika naye. Mungu hataniwi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…