Mwehu huyoππππ"Maelfu ya watu hufika kila siku"
Kachanganyikiwa huyo.Apewe pole na uji ili arudie hali yake.πππππUnakurupuka sana mkuu.
Hiyo saini iko wapi? Hamna hata picha?
Magufuli alitembelea mahandaki tarehe 21/06/2021 akitokea wapi, kuzimu?? Au unamaana mwanae Joseph Magufuli kaenda kutembelea SGR?
Haujawahi kuwa na hoja, Labda haja kubwa.πππππJikite kwenye hoja
Jikite kwenye hoja
Unaonesha ujinga wako. Jitahidi uufiche ujinga wako kwenye bukta yako.πππππKumbe Baregu hajafa wala babu zako hawajafa
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Ni katika kuhangaikia legacy"Maelfu ya watu hufika kila siku"
Bukta tena jamani au sketiUnaonesha ujinga wako.Jitahidi uufiche ujinga wako kwenye bukta yako.πππππ
Kumbe Baregu hajafa wala babu zako hawajafa
Akiwa anakanda mandazi huwa anavaa bukta.ππππBukta tena jamani au sketi
Mtasifia hadi fuvu la Marehemu kudadeki zenu ! Mataga kwisha kazi nyieImeelezwa na wasimamizi wa ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii!..
Magufuli alikufa. Hayupo. Kwishnei. Sahauni!Imeelezwa na wasimamizi wa ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii!..
ni katika kuhangaikia legacy