Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Hili Jaman ni li Taahira, Mlivumilie tuKumbe Baregu hajafa wala babu zako hawajafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili Jaman ni li Taahira, Mlivumilie tuKumbe Baregu hajafa wala babu zako hawajafa
Hell hamna ku-rest ni Ku-suffer tuu. Mtoamada makumbusho ya Hitler ujerumani watu wametembelea sana 'kuonesha mapendo yao sio'Mtu akianza kuonesha dalili za kuwa mwehu na mkimwambia atachukia.Rest in hell! 😝😝😝😝😝
Alikosea mara ya kwanza sasa ame-edit kusahihisha lakini alikuwa ameandika 2021Magufuli kafariki 2021...mtoa mada kaandika 2020...soma vizuri bandiko.
Bashite kanyimwa akili akajaaliwa makalio.Haujawahi kuwa na hoja, Labda haja kubwa.😝😝😝😝😝
Endeleeni kushabikia ccmBashite kanyimwa akili akajaaliwa makalio.
Nimeona Kama kaandika 2020 paleUnakurupuka sana mkuu.
Hiyo saini iko wapi? Hamna hata picha?
Magufuli alitembelea mahandaki tarehe 21/06/2021 akitokea wapi, kuzimu?? Au unamaana mwanae Joseph Magufuli kaenda kutembelea SGR?
Hapana mkuu siyo 2021,ameandika 29/06/202029/06/2021? Nmetoka kapa
MATAGA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawezi kuelewa kitu huyoHuu Uzi sijauelewa, lakini hakuna mahali kaandika alitembalea 21/06/2021.
Ni Mrundi mwenzao wa walifaidika nae sana!Aisee nimetoka nchi ya Burundi yaani huyu mwamba walikua wanamkubali na kumlilia alipofariki. Wanamjua na kumpenda sana n wengine hadi wakiweka msiba alipofariki
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Inaonekana wali-edit vizuri.Duh..mtoa hoja kaandika 29/06/2020....wewe 2021 umeitoa wapi!?….SASA Nani amekurupuka Kati yenu!?
Legacy ya Mbowe hailindwi kwa mtutu wa bunduki
Hahahalegacy ya mbowe hii apa
View attachment 1833314
Na wewe kwa Nini unasoma kabla haja edit, nyie ndo mnAlikosea mara ya kwanza sasa ame-edit kusahihisha lakini alikuwa ameandika 2021
Imeelezwa na Wasimamizi wa Ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii!
Maelfu ya watu hufika kila siku kwenye mahandaki hayo na kupiga picha kwenye sahihi ya Magufuli na kuondoka zao. Hali hiyo imetafasiriwa kama upendo mkubwa walionao watu kwa rais huyo wa tano wa Tanzania.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maelfu ya watu hufika kila siku kwenye mahandaki hayo na kupiga pich
Kuna majitu maongo sana,"Maelfu ya watu hufika kila siku"