Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
ni 2020 bhana. Karekebisha29/06/2021? Nmetoka kapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni 2020 bhana. Karekebisha29/06/2021? Nmetoka kapa
[emoji28][emoji28][emoji28] atakua aliweka saini akiwa kwa malaikaHoja si ni saini ya Magufuli aliyoiweka tarehe 21/06/2021 kwenye mahandaki au una hoja nyingine?
Chumvi tena ya kienyeji,"Maelfu ya watu hufika kila siku"
Itakuwa hauna macho ya rohoni ndio maana huwaoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chumvi tena ya kienyeji,
Wanafika kwa usafiri gani, tupo Kilosa kila siku hatuwaoni
🤣Nipo hapa hapaUko bize kufua nguo za Amsterdam utona wapi
Umenena mkuuMagufuli alikufa. Hayupo. Kwishnei. Sahauni!
Na akitokea kiongozi mwingine mwenye kujiinua na kiburi kama yeye, Mungu atashughulika naye. Mungu hataniwi!!
Uncircumcised ngosha !!!!Gaidi anasemaje lupango?
Jamaaa huku mwelewa vizur soma tena uzi kuhusu tarehe, mwezi na mwaka kuna kitu apo utaelew mana unasoma tu huelewiMode n
Uzi kama huu muwe mnauondoa mapems tarehe zikizotajwa mwendazake alikuwa keshaondoka sasa saini ilitoka wapi
Lazima utakuwa chadema wewe, hata tarehe imekushinda kusoma kisa humpendi JPM.29/06/2021? Nmetoka kapa