Sahihi ya Hayati Magufuli yageuka kivutio cha utalii kwenye Mahandaki ya SGR

Sahihi ya Hayati Magufuli yageuka kivutio cha utalii kwenye Mahandaki ya SGR

Chumvi tena ya kienyeji,

Wanafika kwa usafiri gani, tupo Kilosa kila siku hatuwaoni
Itakuwa hauna macho ya rohoni ndio maana huwaoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unajitahid kupiga promo lakin hakuna kitu najuhakikishia jamaa was incompetent president in the history of Tanz!!!! Huu ndio ukweli ika Malei man hawawezi jua !!!
 
Mnajitahidi kujibebisha kwa mfu lakin wapi.21/6/2021 (17/3/2021)
 
Unajitahid kupiga promo lakin hakuna kitu najuhakikishia jamaa was incompetent president in the history of Tanz!!!! Huu ndio ukweli ika Malei man hawawezi jua !!!
Gaidi anasemaje lupango?
 
Mode n
Uzi kama huu muwe mnauondoa mapems tarehe zikizotajwa mwendazake alikuwa keshaondoka sasa saini ilitoka wapi
Jamaaa huku mwelewa vizur soma tena uzi kuhusu tarehe, mwezi na mwaka kuna kitu apo utaelew mana unasoma tu huelewi
 
Wekeni na fuvu la kile kichwa chake kwenye hayo mahandaki mtapata watalii zaidi.
 
Ndoto yangu Nikipata nafasi lazima niende nikatalii hapo ili nijionee sahihi yake kwani ni heshima tosha! Hakika alikuwa Mwamba wa Afrika
 
Back
Top Bottom