Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Swadakta !Magufuli alikufa. Hayupo. Kwishnei. Sahauni!
Na akitokea kiongozi mwingine mwenye kujiinua na kiburi kama yeye, Mungu atashughulika naye. Mungu hataniwi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadakta !Magufuli alikufa. Hayupo. Kwishnei. Sahauni!
Na akitokea kiongozi mwingine mwenye kujiinua na kiburi kama yeye, Mungu atashughulika naye. Mungu hataniwi!!
Nje ya madavp mbowe ameshaweka legacy? ama ndo mpaka 2023
Nje ya mada
Time travel29/06/2021????? Nmetoka kapa
Asee we jamaa kumbe kwel fuse kazaa is dead totallyMafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Aisee nimetoka nchi ya Burundi yaani huyu mwamba walikua wanamkubali na kumlilia alipofariki. Wanamjua na kumpenda sana n wengine hadi wakiweka msiba alipofarikiImeelezwa na wasimamizi wa ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii!
Maelfu ya watu hufika kila siku kwenye mahandaki hayo na kupiga picha kwenye sahihi ya Magufuli na kuondoka zao. Hali hiyo imetafasiriwa kama upendo mkubwa walionao watu kwa rais huyo wa tano wa Tanzania.View attachment 1832759View attachment 1832760
Wewe lisu anamke wa ndoa acha kumfuata fuata tena unkomeMafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Unajisogeza kwa Mama unafikiri yeye anatoa zile teuzi za kimalaya malaya kama alivyokuwa anafanya yule dhalim?Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Toka lini changudoa akawa na hoja?Jikite kwenye hoja
Legacy ya Mbowe hailindwi kwa mtutu wa bundukivp mbowe ameshaweka legacy? ama ndo mpaka 2023
Duh..mtoa hoja kaandika 29/06/2020....wewe 2021 umeitoa wapi!?….SASA Nani amekurupuka Kati yenu!?Unakurupuka sana mkuu.
Hiyo saini iko wapi? Hamna hata picha?
Magufuli alitembelea mahandaki tarehe 21/06/2021 akitokea wapi, kuzimu?? Au unamaana mwanae Joseph Magufuli kaenda kutembelea SGR?
Acha kukurupuka zaidi. Lenzako lime edit uzi wakeDuh..mtoa hoja kaandika 29/06/2020....wewe 2021 umeitoa wapi!?….SASA Nani amekurupuka Kati yenu!?
MATAGA 🤣🤣🤣Jikite kwenye hoja
Magufuli kafariki 2021...mtoa mada kaandika 2020...soma vizuri bandiko.Mode n
Uzi kama huu muwe mnauondoa mapems tarehe zikizotajwa mwendazake alikuwa keshaondoka sasa saini ilitoka wapi
Lisu alikuwa anapambana na dikteta uchwara na amemtoa nock out hatarudi milele hanashida na mamaMafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Yule Shetani Bora Mungu alipomfutilia kwenye Sura ya Dunia.Imeelezwa na wasimamizi wa ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii!..