Said Bakhressa ana mchango wowote katika kuendeleza elimu?


Evidence tayari imeshatolewa kwa kuwasaidia SUZA
 

na sifa kuu ya muungwana .. Anasaidia na kukaa kimya....sio kutangazia
 

yap ni kweli kidini hairuhusiwi kutoa kitu kwa dhamira ya "kujionesha" hii inaitwa "ria" ambayo ni unafikhi, bimaana kwamba tunatakiwa kutoa kwa moyo kwa mafundisho swahih ya mtume (s.a.w).

Hata hivyo kupeana taarifa kuwa fulani kafanya hivi ktk dini inajuzu, japo hata si kwa picha, ama video. Nia ni kwamba tuweze kujifunza bimaana hii ni ilimu yakini.
 

Fungwe! suala la msaada haliangaliwi kwa kipato cha mtu, jiulize mwenyewe umejitoa kwa kiasi gani japo kwa kidogo ulichonacho ili uwe mfano kwa wengine humu jamvini.

Suala la msaada kwa kampuni kubwa ni la kujipanga si kukurupuka ukaamka asubuhi na kugawa pesa.Kwa taarifa tu, Tanzania haihitaji msaada zaidi ya ulionao, juu ya elimu ni suala la mpango mkakati.

AZAM ni kampuni ya kuigwa kwa Afrika Mashariki
 


blaza tuache ujinga...mtu na pesa zake usimlimit ..hujui kazipataje then wewe unajikuta unamlazmsha akuchangie.

aje mtu baki akusaidie wakati viongoz wako wanaweka heshma ulaya. unamlaumu bure huyu jamaa...kutoa ni moyo co utajir...kama hamjui matumiz ya michango ipasavyo hata mpew nn hamna kitu
#twendeni hivihivi
 


sio lazima
 


umeona eeeh...
 

kujenga shule na kuuza lambalamba vyote ni ujasiliamali.

Ikiwa bwana SSB ataona kunahaja ya kujenga shule, ili azidishe uchumi wake, basi atajenga. Ni wajasiliamali wangapi ulimwenguni waliojenga shule?

Tumpe uhuru achague cha kufanya ktk kusongesha mbele maisha yake.
Mi naona mchango wake katika elimu kama mjasiliamali mwenye huruma, ni kutoa misaada ktk shule na vyuo vyetu kama alivyofanya kwenye chuo cha suza na kungineko ambako hakutaka kupigiwa tarumbeta, pamoja na kuajiri wasomi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…