flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
unajua mm binafsi naamini kuwa jf ni forum inayounganisha wasomi wenye uwezo wa kufikiria mambo mbalmbal kwa upambanuz na uyakinifu kwa kutumia busara stahiki.
Leo hii mtu anatoa mada ambayo kama ikijadiliwa vizuri mimi,ww na hata yy anaweza kunufaika kwa namna moja ama nyngne.
Badala yake watu wametawaliwa na ubinafsi, kebehi,ufedhuli na dharau.
Mtoa mada kauliza swali ambalo kama kuna ushahidi unaweza kuutoa.
Sijaona ktk post yake kama kuna sehemu katumia lugha ya kulalama.
Wallahi huu ni msiba (inna lillahi wa inna illahi raaj'un).
Tunatakiwa tutumie busara jamani ktk mambo ya msingi na yenye mashiko.
Una comments "changia", hauna basi we "pita" waache wachangiaji.
Kama mtoa mada kakosea basi we fanya kama una"PM" kumsahihisha sio kukebehi publicily.
Binafsi naipenda thread hii maana najua huyu SS B. kwa uwezo wake anaweza fanya mengi sana, kujenga shule,vyuo,kugharamia miundombinu mashuleni, n.k. ili jamii izidi kumtambua, kumkumbuka na kumuenzi.
Lakin km alishawah kufanya bac tunaomba evidence.
Evidence tayari imeshatolewa kwa kuwasaidia SUZA