Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 663
WanaJF,
Hakuna ubishi kwamba Billionia wetu mpendwa SAID BAKHRESSA a.k.a AZAM anamchango mkubwa katika uchumi wa nchi yetu na kwamba anangoza kulipa kodi, kwa hili anastahili pongezi.
Lakini nimejaribu kuchunguza katika Nyanja adimu na muhimu ya elimu, kwa upande wangu sikuona chochote kutoka kwa Bwana huyu, kama kuna mwenye taarifa kuhusu mchango wa Bw. Bakhresa kweye elimu dunia atujuze iwe bara au visiwani
Kwa uwezo wake wa kifedha tulitarajia natuone kwa mfano, AZAM UNIVERSITY OF TECHNOLOGY au AGRICULTURE n.k. Nimejaribu kuuliza wenyeji na majirani zake pale AZAM COMPLEX kama angalao amejenga hata shule ya msingi lakini majibu ya wenyeji ni kwamba ameweza kujenga Misikiti na ofisi ya Serikali ya Mtaa pale Chamazi Mwembe Bamia.
Jamani wenye ushahidi bandikeni hapa tusijekuwa tunamhukumu bure.
Hakuna ubishi kwamba Billionia wetu mpendwa SAID BAKHRESSA a.k.a AZAM anamchango mkubwa katika uchumi wa nchi yetu na kwamba anangoza kulipa kodi, kwa hili anastahili pongezi.
Lakini nimejaribu kuchunguza katika Nyanja adimu na muhimu ya elimu, kwa upande wangu sikuona chochote kutoka kwa Bwana huyu, kama kuna mwenye taarifa kuhusu mchango wa Bw. Bakhresa kweye elimu dunia atujuze iwe bara au visiwani
Kwa uwezo wake wa kifedha tulitarajia natuone kwa mfano, AZAM UNIVERSITY OF TECHNOLOGY au AGRICULTURE n.k. Nimejaribu kuuliza wenyeji na majirani zake pale AZAM COMPLEX kama angalao amejenga hata shule ya msingi lakini majibu ya wenyeji ni kwamba ameweza kujenga Misikiti na ofisi ya Serikali ya Mtaa pale Chamazi Mwembe Bamia.
Jamani wenye ushahidi bandikeni hapa tusijekuwa tunamhukumu bure.