champline
Senior Member
- Dec 3, 2018
- 181
- 243
Jamaa Hana shukurani yaaani daimond amemsadia Sana Hadi kamruhusu kumkopi lakini Leo anajiona amekua.kuna nyimbo za dogo usipokuwa makini utajua kuwa ni sauti ya diamond kabisa.Alikiba kashindwa ataweza huyo mmakonde msanii mwenyewe anaiga kuimba kwa baba yake alafu Leo amshinde baba yake wa mziki?