Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Wewe unamjulia kuliko tunaye shinda naye maximum anatumiaga 3m per day ebooohKwanzaa hana jeuri ya kutumia hata 1m kwa siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unamjulia kuliko tunaye shinda naye maximum anatumiaga 3m per day ebooohKwanzaa hana jeuri ya kutumia hata 1m kwa siku
Ahaaaah Mr p naye ni msanii katika wasanii au huyo singah jina kama muhindi naye ni msanii be serious girl come on.wizkid aliondoka kwa banky w mapema tu baada ya kutoa show me ur money na mbona katusua? angebaki angekuwaje?
pantoranking alisepa boston music mapema tu now anatusua na aliondoka pale akiwa na ile hit ya girlie o!
mr P toka aanze kujisimamia mwenyew sasa ana lebel na msanii wake (singah) na anafanya powa.
tatizo bongo fitna nyingi wivu, tamaa ndo zinarudisha nyuma wengine!
kama huyo mkubwa fella yeye kama meneja anashindwaje kujua msanii yuko ndani ya mkataba au lah? et kaskia kwenye mitandao!
kufanya hivo ni kujarbu kuonyesha kuwa harmo hana shukran, ana kiburi, jeuri!
wao wampe baraka kama kaamua kuanza maisha yake. nae aage vizuri basi that's life!
Sasa Vanessa mkaa uchi nayeye ni msanii?Akikujibu mwambie pia kuna na nandy na festival yake
Ahaaaah watapata tabu sanaNaona Team Kiba wameshaamia kwa Harmonize [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kacheze X kama wanakunyanyasa ebooohDada Mwambie Kiba atoe Nyimbo tumechoka kusubiri maana timu matusi inatunyanyasa!
Milioni 100Ml 3 kwa siku? Wakati huo meneja wa BOT analipwa shingapi?
Kwani alipo ajitegemei,mbona anatoka na Sarah kimapenzi so kujitegemea uko eboooooh?anaamini anauwezo wa kujitegemea.
hata kama baba yako ni tajiri ni lazima uondoke ukaoe mke wako ujitegemee.
Nimeshindwa kuelewa hapo chenye thamani ni kipi? Hizo sofa au picha yenyewe?
Sofa hizo hazina maajabu yeyote zimepewa hadhi na camera pamoja na edit za hapa na pale lakini kiuhalisia hazina utofauti na zile za pale keko. Sofa hizo zimechongewa kwa ngozi za kwenye siti za magari na thamani yake haizidi hata laki 5
Kwenye picha hapo haizidi 20k, zaidi ya hapo amepigwa na wahuni (kaingizwa mjini) huku kitaa kuna mwana anapiga picha, anaipika kwenye photoshop inatoka imeiva kwa buku 3 tu. Sasa nikimpa 5000 ampige hata ebitoke kisha amlipue na photoshop then ni post Instagram halafu tufanye comparison, huyu demu wa mwakyusa lazima afichwe.
Ndo maana unaitwa mbuzi hongera kwa kutajaDudubaya
Itakua mkewe wewe unatunza hati zakeAhaaaah uliwahi kutongozwa nae nini diamond anazo nyumba 5 bongo
naona unataka kuliwa kwa nguvu.Ahaaaah Mr p naye ni msanii katika wasanii au huyo singah jina kama muhindi naye ni msanii be serious girl come on.
Toa ushoga hapa Mombasa panakuhusu ebooooohnaona unataka kuliwa kwa nguvu.
usijali sana nyie mna haki zenu siku hizi, so pita hivi tu usije kwenda kwa fatuma karume kunishtak.
Kalale mwanamke auna hata haya ebooohItakua mkewe wewe unatunza hati zake
Toa mapengo yako hapaNaona umeamua kujifyatua lock ya ufahamu eehhh.....
Ebu kwa leo ngoja nikusamehe bure, kwakuwa tupo wote kuleee kwa wakulima.
Niki jitathmini, najiona kwamba ninapaswa kukupuuza na kisha nikusameheToa mapengo yako hapa
SleepNiki jitathmini, najiona kwamba ninapaswa kukupuuza na kisha nikusamehe
wewe unachokitafuta utakipata muda sio mrefu.Toa ushoga hapa Mombasa panakuhusu eboooooh
[emoji23][emoji23]nacheka km mazuriNyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
kiongozi huyu jamaa ana matatizo gani?Niki jitathmini, najiona kwamba ninapaswa kukupuuza na kisha nikusamehe