Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

Alikiba kashindwa ataweza huyo mmakonde msanii mwenyewe anaiga kuimba kwa baba yake alafu Leo amshinde baba yake wa mziki?
Jamaa Hana shukurani yaaani daimond amemsadia Sana Hadi kamruhusu kumkopi lakini Leo anajiona amekua.kuna nyimbo za dogo usipokuwa makini utajua kuwa ni sauti ya diamond kabisa.
 
Jamaa Hana shukurani yaaani daimond amemsadia Sana Hadi kamruhusu kumkopi lakini Leo anajiona amekua.kuna nyimbo za dogo usipokuwa makini utajua kuwa ni sauti ya diamond kabisa.
kwasasa harmonize ni jasusi mbombezi wa muziki
 
Nyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
Kupanga haimaanishi hauwezi kujenga.! Angalia celebrities wa nje kwa mfano, licha ya akaunti zao kusoma millions of dollars utasikia amepanga.

Fact of the matter is that, unaweza kuwa unaishi kwenye upangaji lakini kuangusha nyumba ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako.
 
Wote watakuwa wanastruggle
 
Mkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
Tatizo ameanza kuwajua wanaume ingali bado binti
 
Ndo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.
Punguza gubu Dada harmonize ata theluthi ajafikia kwa diamond eboooh msieeeeeeeew
 
Ahaaaah asepe atoamini kama maji yanakuwaga maaah
 
Unajua maana ya WCB4LIFE?,yaani tunaangalia label kwanza ndo anafata msanii eboooooh
 
Duuu 3M kwa siku,kweli hapa ndo naamini kuna usanii na wasanii. Yaani hyo 3M hata Magufuli mwenyewe raia no.1 tz hatumii hyo Pesa per day.yaani hata mo dewj
Nani alikwambia jiwe ni RAIA namba moja,na wasiwasi na elimu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…