Jamaa Hana shukurani yaaani daimond amemsadia Sana Hadi kamruhusu kumkopi lakini Leo anajiona amekua.kuna nyimbo za dogo usipokuwa makini utajua kuwa ni sauti ya diamond kabisa.Alikiba kashindwa ataweza huyo mmakonde msanii mwenyewe anaiga kuimba kwa baba yake alafu Leo amshinde baba yake wa mziki?
kwasasa harmonize ni jasusi mbombezi wa muzikiJamaa Hana shukurani yaaani daimond amemsadia Sana Hadi kamruhusu kumkopi lakini Leo anajiona amekua.kuna nyimbo za dogo usipokuwa makini utajua kuwa ni sauti ya diamond kabisa.
Kupanga haimaanishi hauwezi kujenga.! Angalia celebrities wa nje kwa mfano, licha ya akaunti zao kusoma millions of dollars utasikia amepanga.Nyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
Popote pale hata waliopita kwa tabu lry na francoUkiwa under wasafi,umaarufu utaupata sawa ila lazima watamake sure usimzidi Diamond.
Wote watakuwa wanastruggleMy brother jux anastruggle?how?akat daily anatoa hit songs na ana biashra inaend poa tu!afu juz alhojiwa kuhus kutopga shoo nyng akajb ttzo bei,hapg shoo ya lak so usione msanii anapga shoo daily ndo ukaona kayaptia Noo,kla mtu ana bei yke,uftlie vtu mzee uckurupuke,ukisema jux anastruggle kweny mzk je chid benz, q chief na tid watakuaje???
Tutolee uchoko hapa rayvanny kajengaHuijui wcb wewe, rayvan kapanga tabata...
Utumwa gani wakati analipa alichopanda eboooohWanajua mshiko utapungua. Kila show akipiga asililimia 80 inakwenda wasafi. Si utumwa huo jamani.
Nenda kwenye udaku wewe mwanamke na mziki wapi na wapi rayvanny kajengaWaeleze hao. Wanaamini maisha ya instagram ndo wanafikiri real life.
Aende hili apoteee ndo ufurahi?Win win stuation, kama hamo anataka kusimama mwenyewe na Konde GANGS acha aendelee.
Tatizo ameanza kuwajua wanaume ingali bado bintiMkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
Punguza gubu Dada harmonize ata theluthi ajafikia kwa diamond eboooh msieeeeeeeewNdo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.
Ahaaaah uliwahi kutongozwa nae nini diamond anazo nyumba 5 bongoIle anayoishi sasa na Tanasha kapanga. Babu tale alisema Kwa mdomo wake kwenye block 89.
Ahaaaah asepe atoamini kama maji yanakuwaga maaahAcheni uzwazwa,ko m2 akiondoka WCB ndo umekua mwisho wake!!!?
Kama ipo ipo 2....
Ko ukikua; usiondoke kwenu kwenda kujitegemea!!!?
Maisha ni kupanga,na kupanga ni kuchagua.....
Hizo ni dalili za uoga,na uoga ni umaskini....
Na maskini wengi 2na mindset kama hizi ndo maana ha2toboi.
Kwani unazania mijengo ya maana hana?nawe acha ushabiki wa kindezi , unazijua m 3 kwa siku ni sawa na 90M kwa mwezi? Huyo vanny si angekuwa na mijengo ya maana hapa mjini?
Ahaaaah lakini sasa hivi ni mafungu kumi na nneSasa kama mtu anataka akaangalie kwingine ndo nimuonee wivu. Ridhiki mafungu saba.
Unajua maana ya WCB4LIFE?,yaani tunaangalia label kwanza ndo anafata msanii ebooooohNauliza kwa WCB fans, kwann wanasema Harmonise au sijui konde boy akitoka WCB watafuta nyimbo zake na hawatamsapoti na kumtukana matusi kibao, kwamba wanaashabikia mziki mzuri na msanii mzuri au wanashabikiaa timu nzima ya WCB hata kama wanatoa nyimbo mbaya
Nani alikwambia jiwe ni RAIA namba moja,na wasiwasi na elimu yako.Duuu 3M kwa siku,kweli hapa ndo naamini kuna usanii na wasanii. Yaani hyo 3M hata Magufuli mwenyewe raia no.1 tz hatumii hyo Pesa per day.yaani hata mo dewj
Kaenda ili mjue,kwani asingeenda ungejuaje na kuja kucomment eboooh.Huyu baba bure kabisa..si angemuita harmo athibitishe Kama anayoyasikia ni kweli au uongo..kakimbilia kwenye media..ovyo sana
Naona umeamua kujifyatua lock ya ufahamu eehhh.....Tatizo ameanza kuwajua wanaume ingali bado binti
Kutoka WCB[emoji23][emoji23][emoji23] kisa?