Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Huijui wcb wewe, rayvan kapanga tabata...Huyo Sara kamkuta Hamo ana ghorofa kajenga kwa pesa za muziki labda km alimfanyia finishing... Rayvanny ana nyumba yenye swimming pool sasa wananyonywaje awa watu? Lavalava kaanza muziki juzi tu
Si ameulizwa?
Wanajua mshiko utapungua. Kila show akipiga asililimia 80 inakwenda wasafi. Si utumwa huo jamani.Nashanga sana hawataki mtuu a Move on ..hii Bongo hatari sana
Waeleze hao. Wanaamini maisha ya instagram ndo wanafikiri real life.Huijui wcb wewe, rayvan kapanga tabata...
We umejuaje wasafi wanachukua 80%? We unajua how much WCB wametumia kumfanya harmo awe hivyo?hiv wewe Bila wcb huyo harmo ungemfahamu?Wanajua mshiko utapungua. Kila show akipiga asililimia 80 inakwenda wasafi. Si utumwa huo jamani.
Win win stuation, kama hamo anataka kusimama mwenyewe na Konde GANGS acha aendelee.We umejuaje wasafi wanachukua 80%? We unajua how much WCB wametumia kumfanya harmo awe hivyo?hiv wewe Bila wcb huyo harmo ungemfahamu?
Waeleze hao. Wanaamini maisha ya instagram ndo wanafikiri real life.
Ndio kashamchukua q chillah[emoji1787][emoji1787],yupo dully sykesWin win stuation, kama hamo anataka kusimama mwenyewe na Konde GANGS acha aendelee.
Kwani nje ya WCB wapo waliomzidi Diamond!?Ukiwa under wasafi,umaarufu utaupata sawa ila lazima watamake sure usimzidi Diamond.
Akikujibu ni tagKwani nje ya WCB wapo waliomzidi Diamond!?
Kwamba Dai hana hata nyumba?Zile pesa anazotoa msaada hazifikii kujenga nyumba?Nyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
Ndo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.Kwani nje ya WCB wapo waliomzidi Diamond!?
Hivi umeangalia hiyo interview kweli!!?? Fella amekimbilia kwenye media au media ndiyo imemkimbilia Fella na kumuuliza hilo swali kupata uhakika!? Mswahili mpe picha tu maelezo atamaliza mwenyewe.Maneja sijui msimamizi huyu kwanini kaenda kwa media.. si angemuuliza au hana uwezo wa kuongea nae!!! Shame
Ile anayoishi sasa na Tanasha kapanga. Babu tale alisema Kwa mdomo wake kwenye block 89.Kwamba Dai hana hata nyumba?Zile pesa anazotoa msaada hazifikii kujenga nyumba?
Acheni uongo wadau.
Hahahahahaha wivu utakuua. Fanya kazi.Nyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
harmo ni Nani mpaka wamfanyie figisu?Ndo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.