USSR123
Member
- Feb 18, 2017
- 76
- 102
Duuu 3M kwa siku,kweli hapa ndo naamini kuna usanii na wasanii. Yaani hyo 3M hata Magufuli mwenyewe raia no.1 tz hatumii hyo Pesa per day.yaani hata mo dewjWakukaya unakwama wapi dem wa Rayvanny asingeishi nae kama hana fedha yule dem nilikutana nae century cinema mlimani aisee ana spend pesa nadhani anatumia zaidi ya 3M kwa siku na kalikuwa na msururu wa watu wanakafanya kama Queen