@mkubwafellatmk - WATANZANIA ni kweli wakalimu wanyenyekevu lakini pia wepesi wakuoneana huruma. Ila inatengeamea ukiwa ulicho wadisia kinawaingia haraka ila tukijua unatuongopea sasa apo utatafuta kila sababu uwaombe tena wakuamini tena sasa mie naomba tunatakiwa tutumie ukweli japo kidogo kuliko kuendelea kutumia uongo zaidi wakuonee huruma apo ni kupoteza muda maana ivi mwanzo ulipo kuwa unatafutiwa kudele ili wakujue awo unao chukua muda uwongopee ndio walio ombwa sapoti kwenye ukuaji wako sasa wanakujua ukiona wanakusapoti mfano kwenye ukurasa wako na wakiwa wanakwambia ndio sawa sawa tena mwengine anaenda mbali zaidi yule k......uyo mjue anakuchimbia shimo tena shabiki mwenye uwadui kwako. wazo natoa kuonewa huruma umlazimishi shabiki ila ukiona au mkiona mnapotea ludini niwashauli. sijazaliwa na roho mbaya kama ningekuwa na roho mnayo ifikilia msinge fika apa ujumbe huu kwa yoyote asie juwa umuhimu wa mtu alio kusaidia awali. lakini pia sio lazima kukumbuka alio kukufikisha kila sebuleni kwa watu kuwafahamu. sasa nawashauri komaeni mtaendelea kuwepo kikubwa kumuomba mwenyeziMUNGU tena chukueni muda mwingi kumuomba MUNGU kuliko kuwa imanisha watu ujinga. nyote nilio watengeneza mimi niwachukue mmefanya nini.kumbukeni mwanzo niliwauliza solo anajua mziki mkasema anafanya kazi na marehem R.I.P Boss nilibariki mwende sasa keleta uongo wa nini alafu naomba kutoa ushauri aswa kwa nyie mwenyeziMUNGU alio wabariki pesa msiwalubuni vijana kwa pesa zenu mnawafelisha sisi tupo mtaani ndio tunawajua life style yao nyie amuwezi movement zao. Aya naona nawengine mnaanza kumtia tamaa mwanangu KONDEBOY mie najua utamu wa kazi hii ata uchungu wa kazi hii. najua msanii ana mamuzi ya ukuwaji maendeleo ila mwanangu ukiona ulipo inatosha sawa ila Aga tu vinzuri ata mie nna kila sababu ya kukushauli maana nawajua wenye hela za mjini wanapenda kugusanisha nyaya bin cheche sasa before kuangalia maendeleo wadeki awo jamaa wapo sawa maana mie nawajua zaidi tena labda ujui majina yao yapo Itary wanataka kununu vifaa vya MEDIA. sasa wanangu tuchange karata vinzuri.tena kuna muda walimshauli bin kumlubuni @diamondplatnumz etietietieti[emoji23][emoji23][emoji23] achane na sisi wampe usd 100,000 tumalizane etietieti [emoji23][emoji3]
View attachment 1177001
[emoji848]