Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Akikujibu mwambie pia kuna na nandy na festival yake
Vanesa mdee na yeye yupo WCB??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vanesa mdee na yeye yupo WCB??
Kwanini mnamshambulia huyo dada? shida iko wapi mtu akitoa mawazo yake au mada ilikuja ili ijadiliwe Fella kasema,
Huyo Fella kabla hajaongea kwenye media yeye kama mkubwa kwanini asimuite Harmonize na kumuuliza kulikoni?
Ndo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.
Huyu jamaa kaniacha hoinawe acha ushabiki wa kindezi , unazijua m 3 kwa siku ni sawa na 90M kwa mwezi? Huyo vanny si angekuwa na mijengo ya maana hapa mjini?
Ml 3 kwa siku? Wakati huo meneja wa BOT analipwa shingapi?Wakukaya unakwama wapi dem wa Rayvanny asingeishi nae kama hana fedha yule dem nilikutana nae century cinema mlimani aisee ana spend pesa nadhani anatumia zaidi ya 3M kwa siku na kalikuwa na msururu wa watu wanakafanya kama Queen
Exactly..Ukiwa under wasafi,umaarufu utaupata sawa ila lazima watamake sure usimzidi Diamond.
NadhaniMl 3 kwa siku? Wakati huo meneja wa BOT analipwa shingapi?
Never ever call me a dogoBado Ushamba Haujakuisha...Hivi Una Miaka Mingapi Dogo???
Watu wanatamani kuingia huko. Kama mkataba umeisha si ali-new tena,ksbb yeye ana nafasi. Lakini kujitenga na WCB simshauri,ata-go down si muda mrefuje sababu ikiwa ni mkataba wake umeisha na sio kunyonywa kama mnavyodai, bado mtaona ni dhambi yeye kuendelea na maisha yake ya kujitegemea??
anaamini anauwezo wa kujitegemea.Watu wanatamani kuingia huko. Kama mkataba umeisha si ali-new tena,ksbb yeye ana nafasi. Lakini kujitenga na WCB simshauri,ata-go down si muda mrefu
Picha hii ndiyo aliyodai imekost 1.5?
Huenda ni show off tu za mitandaoni, kuhusu picha ila kuhusu kuspend pesa siku ile nilikakubali ni really slay queenKwanzaa hana jeuri ya kutumia hata 1m kwa siku
Poa, ukionaga habari kama hizi roho yako huwa inafurahi sana.Salama,za wewe?
Picha hii ndiyo aliyodai imekost 1.5?
Kuondoka sawa. Lakini si ondoka kwa utaratibu unaoeleweka,sio kutoroka tu. Je siku ukikwama?anaamini anauwezo wa kujitegemea.
hata kama baba yako ni tajiri ni lazima uondoke ukaoe mke wako ujitegemee.
Nimeshindwa kuelewa hapo chenye thamani ni kipi? Hizo sofa au picha yenyewe?Hahahahah akil za tandale hizi
HahahahhaNdio kashamchukua q chillah[emoji1787][emoji1787],yupo dully sykes
Sarah sikuizi unajua kiswahili pure HONGERANdo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.