Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

Ameulizwa swali na mwandishi wala hajaita press!
Kwanini mnamshambulia huyo dada? shida iko wapi mtu akitoa mawazo yake au mada ilikuja ili ijadiliwe Fella kasema,

Huyo Fella kabla hajaongea kwenye media yeye kama mkubwa kwanini asimuite Harmonize na kumuuliza kulikoni?
 
Naona Team Kiba wameshaamia kwa Harmonize [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dada Mwambie Kiba atoe Nyimbo tumechoka kusubiri maana timu matusi inatunyanyasa!
Ndo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.
 
je sababu ikiwa ni mkataba wake umeisha na sio kunyonywa kama mnavyodai, bado mtaona ni dhambi yeye kuendelea na maisha yake ya kujitegemea??
Watu wanatamani kuingia huko. Kama mkataba umeisha si ali-new tena,ksbb yeye ana nafasi. Lakini kujitenga na WCB simshauri,ata-go down si muda mrefu
 
64785791_387808358525465_6505864657218704796_n.jpg
Fahyvanny kakamgeni oscarsolomon
.
Wewe kakamgeni tuheshimiane
 
anaamini anauwezo wa kujitegemea.

hata kama baba yako ni tajiri ni lazima uondoke ukaoe mke wako ujitegemee.
Kuondoka sawa. Lakini si ondoka kwa utaratibu unaoeleweka,sio kutoroka tu. Je siku ukikwama?
 
Hahahahah akil za tandale hizi
Nimeshindwa kuelewa hapo chenye thamani ni kipi? Hizo sofa au picha yenyewe?

Sofa hizo hazina maajabu yeyote zimepewa hadhi na camera pamoja na edit za hapa na pale lakini kiuhalisia hazina utofauti na zile za pale keko. Sofa hizo zimechongewa kwa ngozi za kwenye siti za magari na thamani yake haizidi hata laki 5

Kwenye picha hapo haizidi 20k, zaidi ya hapo amepigwa na wahuni (kaingizwa mjini) huku kitaa kuna mwana anapiga picha, anaipika kwenye photoshop inatoka imeiva kwa buku 3 tu. Sasa nikimpa 5000 ampige hata ebitoke kisha amlipue na photoshop then ni post Instagram halafu tufanye comparison, huyu demu wa mwakyusa lazima afichwe.
 
Back
Top Bottom