Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Kafunga mawili mkuu anaibeba sana timu yakeDuh kapiga hattrick leo???Ndio maana mikia wanampigia simu kawachomolea
Kweli kabisa'Hakuna club hapa Tanzania yenye macho ya kuona wachezaji wazuri wa nje wa kuwasajili kama YANGA, ile mikia huwa inasubiri Yanga isajili yenyewe inyakuwe tu
Bad enough huwa wanaenda kuwa mizigo kule kwao.
Ref: Ajibu, B. Morrison na wengine.
Hakuna club hapa Tanzania yenye macho ya kuona wachezaji wazuri wa nje wa kuwasajili kama YANGA, ile mikia huwa inasubiri Yanga isajili yenyewe inyakuwe tu
Bad enough huwa wanaenda kuwa mizigo kule kwao.
Ref: Ajibu, B. Morrison na wengine.
Kweli!Binafsi namuombea awe namuendelezo mzuri pindi akianza kuitumikia young Africans,, kila la kher said ntibazonkiza your now green and yellow
Iv lini ataanza rasmi kutumikia kibarua chake ndan ya yanga.Kweli!
Akimaliza majuku ya mechi za kimataifaIv lini ataanza rasmi kutumikia kibarua chake ndan ya yanga.
Yupo vizuri sana kwenye mashambuliziAfike ili asaidie pale 10
Kuumia kwa Balama, Yanga inakosa namba 10Yupo vizuri sana kwenye mashambulizi
Amepona lakini
Ajib alionwa na Yanga?Hakuna club hapa Tanzania yenye macho ya kuona wachezaji wazuri wa nje wa kuwasajili kama YANGA, ile mikia huwa inasubiri Yanga isajili yenyewe inyakuwe tu
Bad enough huwa wanaenda kuwa mizigo kule kwao.
Ref: Ajibu, B. Morrison na wengine.
Ha haaaaa.....Mikia.Duh kapiga hattrick leo? Ndio maana mikia wanampigia simu kawachomolea
Hakuna club hapa Tanzania yenye macho ya kuona wachezaji wazuri wa nje wa kuwasajili kama YANGA, ile mikia huwa inasubiri Yanga isajili yenyewe inyakuwe tu
Bad enough huwa wanaenda kuwa mizigo kule kwao.
Ref: Ajibu, B. Morrison na wengine.