Said Intabazonkiza (Young African new player)

Said Intabazonkiza (Young African new player)

Sawa,maana hata wale wachezaji wakali wengine wa kigeni,waliowahi kuja kucheza hapa nchini, nao mlianza kuwaona nyinyi. Very ridiculous!

Ni Yanga ndo walianza kuwaona:William Fahnbuler (Liberia),Ramadhan Wasso (Burundi), Emeh Ezechukwu na Orji Obina (Nigeria), Patrick Ochan, George Owino, na Emmanuel Okwi (Uganda), Moses Odhiambo na Hillary Echesa (Kenya), Gerson Fraga (Brazil), Clatous Chama (Zambia) na wengineo.

Wote hao na wengineo waliletwa nchini na Yanga.Very ridiculous indeed![emoji33]
Mashabiki vilaza 90% wapo Yanga.
 
Wazazi tuwalee watoto wetu vizuri laa sivyo wataishia kuwa mashabiki wa Utopolo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20201221-084211.jpeg
 
Back
Top Bottom