Said Mtanda amepwaya Mwanza, impendeze Rais atuletee Kenani Kihongosi ambaye sasa yuko Simiyu

Said Mtanda amepwaya Mwanza, impendeze Rais atuletee Kenani Kihongosi ambaye sasa yuko Simiyu

Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Unamlaumu kwa kigezo Cha jana tu kuvurugana na Simba. Hii sio sawa.
 
Unamlaumu kwa kigezo Cha jana tu kuvurugana na Simba. Hii sio sawa.
Amevaa nguo nyeupe, na jana kaitupia tope ambalo linaonekana kuliko nguo yenyewe. Kufanya jema ni wajibu, hutarajii kusifiwa, Ila ukitenda baya litaonekana
 
Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Mbona kama wewe unafaa?!...wallah ningekua mshauri wa Rais, ningemshauri akuteue wewe uende pale Mwanza ukatekeleze yote uliyoyataja kwenye bandiko lako...na ungefanikiwa kufanikisha kwa asilimia 75 tuu...Mwanza ingekuwa kama Capetown.
 
Mambo ya ulinzi na usalama hayahitaji njia ambayo haijanyooka (chain of command). Nyie chadema mnataka Mwenyekiti wa Halmashauri awe ndio Mkuu wa Mkoa, au Mkuu wa Mkoa apigiwe kura, kama mikoa ikiwa na wakuu wa mikoa wa vyama tofauti, na jambo la ki usalama linagongana na maslahi yao ya kisiasa, nchi itachafuka.

Mkuu wa Mkoa ni extension ya kura alizopata Rais, uwepo wake mkoani, ni uwepo wa Rais
 
Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Mchukueni Makonda
 
Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Kenani Kihongos angepelekwa Arusha, Paul Makonda apelekwe Dar, Albert Chalamila apelekwe Mwanza...Kenani ALIWAHI kuwa Arusha na aliunganisha watu wale sana na ndo pekee atayeweza kuendekeza ya Makonda...Paul Makonda akae Dar MAANA Dar ndio Tanzania yenyewe...kwa maslahi ya Taifa Paul aende Dar...Albert Chalamila aende Mwanza..Mwanza ataiweza sana..Albert ataipaiza Mwanza kiuchumi na kimaendeleo haswa idara ya elimu na biashara
 
Mtanda huyu huyu alijaribu kuivuruga kesi ya ulawiti iayomkabili mmakonde mwenzake aliyekuwa RC Simiyu, hafai kukalia ofisi ya uuma.
 
Wakuu wa Mikoa & Wilaya wengi hawajui mipaka za kazi zao hata JD zao sidhani kama wanazielewa.

Miaka ya Mwalimu ukisikia Mkuu wa Mkoa aisee mtu wa heshima kubwa katika jamii, leo hii ni mtifuano.
 
Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Acha majungu kwenye vyeo vya kuteuana. Kama humtaki, gombea Urais ili ukishinda umteue huyo Mkuu wa Mkoa umpendaye.
 
Mambo ya ulinzi na usalama hayahitaji njia ambayo haijanyooka (chain of command). Nyie chadema mnataka Mwenyekiti wa Halmashauri awe ndio Mkuu wa Mkoa, au Mkuu wa Mkoa apigiwe kura, kama mikoa ikiwa na wakuu wa mikoa wa vyama tofauti, na jambo la ki usalama linagongana na maslahi yao ya kisiasa, nchi itachafuka.

Mkuu wa Mkoa ni extension ya kura alizopata Rais, uwepo wake mkoani, ni uwepo wa Rais
Una mawazo ya kijinga sn, hujui Mkoani kuna RAS naye kateuliwa na Rais
 
Back
Top Bottom