Said Mtanda amepwaya Mwanza, impendeze Rais atuletee Kenani Kihongosi ambaye sasa yuko Simiyu

Said Mtanda amepwaya Mwanza, impendeze Rais atuletee Kenani Kihongosi ambaye sasa yuko Simiyu

Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo tarehe 18/09/1958, ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Naunga mkono hoja
 
Me. Rais hayo ni majungu. Hakuna Mkuu wa Mkoa mstaarabu, muungwana, mshirikishaji watu, mpenda watu kama Mhe. Mtanda. Kwanza ana muda mfupi hapa Mwanza. Mwache amalize muda wake mpaka muda wa uchaguzi 2025.
 
Me. Rais hayo ni majungu. Hakuna Mkuu wa Mkoa mstaarabu, muungwana, mshirikishaji watu, mpenda watu kama Mhe. Mtanda. Kwanza ana muda mfupi hapa Mwanza. Mwache amalize muda wake mpaka muda wa uchaguzi 2025.
Unajua muda wake wa kukaa Mwanza?
 
Mbona kama wewe unafaa?!...wallah ningekua mshauri wa Rais, ningemshauri akuteue wewe uende pale Mwanza ukatekeleze yote uliyoyataja kwenye bandiko lako...na ungefanikiwa kufanikisha kwa asilimia 75 tuu...Mwanza ingekuwa kama Capetown.
Umeona eeehh
 
Utakuwa unal....... Na kihongosi nini?Kwa Nini upendekeze kihongosi na siyo wewe?
Mkuu, exhaust pipe (bomba la moshi) lako limepasuka tangu jamaa akutembelee na akatoka kwa mlango wako wa nyuma
 
KK unajipigia promo, ni muda sasa mama akulete Dar.
Nimependa unavyojitoa kwa wengine basi tu veggies inakufanya hatukuzingatii, ila una kitu.
 
Na mkichwa wake ule kama mgongo wa meli alafu si alihusika na tukio na yule binti yule na mkichwa wake ule kama panga
 
Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.

Mkoa una miradi mingi ya maendeleo ambayo inahitaji kuifuatilia mguu kwa mguu, kuisemea kwa wananchi. Damu changa maana yake akiamka hana haja ya kupima presha wala kisukari kabla ya kuvaa gambuti na kuvuka kwenda ukerewe na ukara kukaa na wavuvi wakijadili changamoto zao, na hata kuvuta kokoro kidogo, sengerema, misungwi, Magu, Kwimba.

Kuingia mashambani kupanda mpunga na wakulima, kupanda juu ya majengo kuangalia kazi ya makandarasi.

Naona kama Mtanda ana asili ya "umwinyi" na yuko katika mikoa ya wachapa kazi. Mikoa yenye asili ya umwinyi, saa nne asubuhi hata supu mitaani hakuna.

Mwanza ina visiwa ambavyo havijavamiwa, hatuoni mkoa ukitenga visiwa kwa ajili ya mahoteli makubwa kama ilivyo Zanzibar. Mkuu wa Mkoa hatumuoni sana saiti. Kulikuwa na tamasha la Balimi la waendesha mitumbwi, limekufa. Hatumuoni Kisesa kwenye kituo cha tamaduni za wasukuma. Hatumuoni akipigia debe barabara za mawe. Hapigii debe shule kama kirumba na kitangiri na pansiansi ziwe za ghorofa. Kule kishiri na Igoma panahitaji shule mpya na vituo vipya vya afya kwa kuwa sasa kuna watu wengi, huko hajawahi hata kufika.

Mpaka sasa Mwanza haina public beach kama ilivyo Coco Beach ya Dar es salaam. Hakuna promotion ya utalii wa ziwa, pale kamanga ferry vijana wanajiongeza wenyewe tu na mitumbwi ya matete, hawapi hata mchongo wa Songoro Marine au Kampuni ya Meli Tanzania (Marine) wawachongee viboti kama corporate social responsibility.

Mwanza kuna jengo ambapo tarehe 18/09/1958, ulifanyika mkutano wa PAFMECA pale karibu na Mwanza Hotel, nani anajua?

Kenani anajua sana ku-mingle na jamii anayoiongoza, tumeona juzi kakutana na upinzani, katatua mgogoro wa Lamadi kwa wajuaji na mambo mengi.

Nashauri kama Rais akiamua kuchekecha wawakilishi wake, basi Mwanza amlete Kenani Kihongosi.

Nasema tu, mimi sio mwana Simba
Huyu ni kenani anajipigia promo.

Kenani kwa taarifa yako tunajua uhasama ulionao kwa Mtanda tangu mlipopishana Arusha na kwingineko ambalo mliendelea kupishana pia.


Shida yako huwa unajionanni special sana na una akili kuliko watu wote Duniani.

In short nikwambie tu kwamba SOMA ALAMA ZA NYAKATI.
 
Back
Top Bottom