daaaaah,jamaa anasikitisha sana,yaani issue ya kumtuma mwakilishi anataka kwenda kuhudhuria yeye,shilingi inazidi kushuka thamani yeye bado anafikiria kuuza sura tena hata misibani,hivi huyu dingi kweli hana washauri?
JK mtu wa watu...rais wetu ana utu sana...hiyo thamani ya shilingi inayoshuka nenda kaipandishe wewe..au mwambie mumeo akkaipandishe,,nyambafu zako