TANZIA Said Ngamba alias 'Mzee Small wa Ngamba' afariki dunia

TANZIA Said Ngamba alias 'Mzee Small wa Ngamba' afariki dunia

daaaaah,jamaa anasikitisha sana,yaani issue ya kumtuma mwakilishi anataka kwenda kuhudhuria yeye,shilingi inazidi kushuka thamani yeye bado anafikiria kuuza sura tena hata misibani,hivi huyu dingi kweli hana washauri?

JK mtu wa watu...rais wetu ana utu sana...hiyo thamani ya shilingi inayoshuka nenda kaipandishe wewe..au mwambie mumeo akkaipandishe,,nyambafu zako
 
ila rais hanakosa hawa ndo waanzilishi na wakongwe wa filamu na maigizo si mbaya
 
chadema hawana utu kabisa,,hawahudhurii misiba,,wanahudhuria harusi tu wakanywe pombe na kitimoto
 
J.K. mtu wa maana sana.

yes mwepesi wa kukimbia ofisi....na ikitokea msiba wa mtu anayemfahamu haraka haraka anafunga ofisi na kwenda msibani. Akitoka hapo si ajabu ukasikia anasafiri kwenda Rio kuangalia viwanja vya mpira
 
[h=3]MAMIA WAMZIKA MSANII MKONGWE WA MAIGIZO NCHINI MZEE SMALL[/h]

IMG_4686.JPG

Msafara wa magari na waendesha Bodaboda wakiwa katika barabara ya Segerea Kinyerezi wakati wakielekea Makaburi ya Segerea kwaajili ya Kumpumzisha Kwa Amani Mkongwe wa Sanaa ya Vichekesho Nchini Said Ngamba almaarufu Mzee Small
IMG_4692.JPG

Gari lililobeba Mwili wa Marehemu Said Ngamba aka Mzee Small (la kwanza) likiwa limesimama kwaajili ya Vijana kuubeba Mwili wake hadi kwenye Makaburi ya Segerea jioni Hii
IMG_4698.JPG

Vijana wakishusha jeneza lenye mwili wa Marehemu Mzee Small kwaajili ya kuelekea kwenye Makaburi ya Segerea


IMG_4711.JPG

IMG_4716.JPG

Vijana wakiwa wamepanga mstari kuanzia Barabara ya Segerea Kinyerezi hadi makaburini kwaajili ya kupokea jeneza lenye Mwili wa Marehemu Mzee Small
IMG_4743.JPG

Vijana wakiwa wamebeba jeneza lenye Mwili wa Marehemu Mzee Small wakielekea kwenye Makaburi ya Segerea Jioni Hii.
IMG_4664.JPG

Watu mbalimbali wakisubiri Mwili wa Marehemu kuwasili katika makaburi ya Segerea
IMG_4665.JPG

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifamba akiwasilika katika eneo la Makaburi ya Segerea jioni hii kwaajili ya kumzika Mzee Small
IMG_4770.JPG

IMG_4776.JPG

Mwili wa Marehemu Mzee Small ukitolewa kwenye jeneza tayari kupumzishwa katika Nyumba yake ya Milele katika makaburi ya Segerea.
IMG_4661.JPG

Watu mbalimbali wakiwasili kwenye makaburi ya Segerea kwaajili ya kumzika Mzee Small. Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog
IMG_4739.JPG

Umati wa watu wakielekea Kupokea Jeneza lenye mwili wa Marehemu Mzee Small wakati ulipowasili kwenye eneo la Makaburi ya Segerea.
IMG_4760.JPG

IMG_4668.JPG

IMG_4788.JPG

IMG_4792.JPG

Wanahabari wakitafuta taswira katika mazishi ya Mzee Small katika Makaburi ya Segerea
IMG_4666.JPG

IMG_4671.JPG

IMG_4723.JPG

IMG_4795.JPG

IMG_4798.JPG

IMG_4801.JPG

IMG_4804.JPG

IMG_4819.JPG

IMG_4824.JPG

IMG_4834.JPG

IMG_4838.JPG

IMG_4841.JPG

IMG_4843.JPG

IMG_4749.JPG

IMG_4759.JPG

Picha Zote na Josephat Lukaza - Lukaza Blog

Chanzo
:matukio.blogspot
 
Ushiriki wa Bongo Movie ulikua vipi? maana wanaangalia ni mtu gani amefariki
 
Sikusikia,alale kwa amani mahala pema peponi huyo gwiji wa tasnia ya bongo.
 
Back
Top Bottom