TANZIA Said Ngamba alias 'Mzee Small wa Ngamba' afariki dunia

TANZIA Said Ngamba alias 'Mzee Small wa Ngamba' afariki dunia

Du jamaa ni noma hata maharage yawekana kapiga yaani suna!
 
Huyu jamaa hanaga ratiba

daaaaah,jamaa anasikitisha sana,yaani issue ya kumtuma mwakilishi anataka kwenda kuhudhuria yeye,shilingi inazidi kushuka thamani yeye bado anafikiria kuuza sura tena hata misibani,hivi huyu dingi kweli hana washauri?
 
Wangempeleka India kipindi anahitaji msaada ingekua safi zaid
 
Mkome kuchagua rais kakulia kwenye kupiga vidufu
 
Hivi waziri wa michezo na utamaduni hayupo?
Maana mzee angeenda kwenye shughuli nyingine za kujenga taifa
 
Wakati nasikia alikua akienda ikulu anafukuziwa getini,matibabu kakosa huu ni unafiiki wa hali ya juu
 
Mkome kuchagua rais kakulia kwenye kupiga vidufu
naona umechukia kwa ajili amekiuka amri ya yesu ya waacheni wafu wawazika wafu.

Hizo amri hazi apply katika dunia ya leo.
 
Nyinyi manyandumbi mnao kosoa Rais kuhudhuria msiba wa mzee small. Hivi mnajua ukaribu wa mzee small na rais? Acheni ujinga.
 
Back
Top Bottom