Kilala Makusaro
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 688
- 382
Uliisaidia sana sanaa yetu mpaka hapa ilipofika. Mungu akuepushie adhabu ya kifo. RIP Mzee Small.
Utakuwa walewale watoa rushwa!! Mungu hapokei wa hatowi rushwa. So usimpe Mungu rushwa ya maneno, hukumu yeke anajua namna ya kuitoa mwenyewe haangali sifa mnazotoa anajua.