daaaaah,jamaa anasikitisha sana,yaani issue ya kumtuma mwakilishi anataka kwenda kuhudhuria yeye,shilingi inazidi kushuka thamani yeye bado anafikiria kuuza sura tena hata misibani,hivi huyu dingi kweli hana washauri?
Anaitwa mfalme was anga mzee wa misiba
umeambiwa ikulu ni hospitali?
wakati anahitaji matibabu hakuna alie jal
J.K. mtu wa maana sana.
Mtu wa maana kwa misukule kama ninyi
Mkome kuchagua rais kakulia kwenye kupiga vidufu