Saida Karoli: Meneja wangu amemtapeli Diamond mamilioni, mi nilimpa wimbo bure

Acha kukurupuka kijana, diamond alisema wazi hajaonana na saida kaloli, ila walikutana na manager wa saida ambae ndio mwenye hati miliki ya wimbo wakamalizina .
Shule ulienda kusindikiza wenzio?
 
Ameshindwa hata kujua kuwa wimbo unabaki kuwa mali ya muandaaji (Producer) ndiyo maana akaombwa consent yake tu and that was it. Elimu Elimu Elimu.
Haki ni yake pamoja na meneja aliyemlipa producer.
 
Itakuwa mmiliki wa huo wimbo ni FM.

Inamaanisha Saida hana haki na huo wimbo, tayari haki zote alishamkabidhi Felician.

Either kwa kujua au kutokujua.
 
Ameshindwa hata kujua kuwa wimbo unabaki kuwa mali ya muandaaji (Producer) ndiyo maana akaombwa consent yake tu and that was it. Elimu Elimu Elimu.
nah, anamzungumzia aliyekuwa meneja wake, yeye saida anasema alimpa diamond wimbo bure kabisa, ila aliyekuwa meneja wake kipindi hicho akachukua milioni 25 kutoka kwa diamond
 
Saida hacha ujinga unagawa wimbo bule wewe una nini ,kweli elimu ina umuhimu wake uko unakunywa viroba kisha unaongea nini chwekamu kuli kutukwasa eshoni nogamba biki si ejabuja.
 
Mie napenda sana nyimbo zako ila unatuweka diro unaunacho kitoa kisha unaongea pumba kama una jeori basi nenda kaimbe nyimbo ili na wewe ushamiri upya toa utumbo wako hapa.
 
Nimempenda huyo mtangazaji anavyoongea.wanaotangaza taarifa ya habari Kenya huwa wanatangaza vizuri.kiswahili chao huwa safi kabisa.
 
Acha kukurupuka kijana, diamond alisema wazi hajaonana na saida kaloli, ila walikutana na manager wa saida ambae ndio mwenye hati miliki ya wimbo wakamalizina .
Shule ulienda kusindikiza wenzio?

“Kitu tulichokifanya kabla ya kurelease wimbo,tulizungumza na uongozi wake,tukawaambia tunafanya hiki na hiki na kuna kiasi pia tukakitoa ili kiende kwake halafu tukampa 25% ya publishing.Kila income ya publishing ikiwa inaingia katika huu wimbo,mama atakuwa anapata percent,”

Hayo yalikuwa maneno ya Diamond mwenyewe waliongea na uongozi wake alafu alafu kuna kiasi walikitoa kwenda kwake.Alafu wakampa 25% na kila senti itakayoingia mama atakuwa anapata senti...

sasa Kati yangu mimi na wewe sijui nani kakurupuka hapo.we unasema hawakuonana wakati Saida anasema alikuwepo studio na aliingiza sauti yake kwenye chorus ya ule wimbo...

Saida anasema alitoa wimbo bure akuchukua hata senti baba ako Diamond anasema walimpa hela Saida na sio Meneja wa Saida.

Muda mwingine weka mapenzi kando kwenye hili swala kuna ujanja mwingi na kuongeza sifuri ila Saida kaamua kusema basi tutasikia mengi mno round hii.
 
Kweli meneja ana roho anaitwa nani huyo meneja zulmati tumuanike. Mi mwenyewe nilifurahi at least Saida kapata tupesa
Huyo meneja aitwa Felician Muta, namchukia sana huyo mzee tangu alivyomwingiza kingi na kumsainisha saida mikataba ya Mangungo huku akitumia fursa ya kutokujua kusoma wala kuandika kwa Saida hapo mwanzoni.
 
Kweli anauchu wa pesa Mungu anamuona
 
Kwani mwenye haki ya huo wimbo ni saida karoli au mzee Muta,inabidi aupitie tena mkataba wake(karoli) na mzee Muta
 
Alikuambia kuingiza sauti mpaka mue pamoja studio na nani?
Nakwambia tena saida kaloli na diamond hawakuonana na bado hawajaonana face to face tangu wimbo umetengenezwa hadi umetoka, hata saida mwenyewe process zote zinafanyika alikuwa Bukoba, nenda kasikilize interview tena uelewe vizuri.
Msaada kwako : kuna nyimbo kibao zinafanyika bila wasanii kukutana unatumiana sauti shughuli inaisha.
Kuna nyimbo Yemi Alade amemshirikisha Diamond na imeshakamilika na hawajaingia studio pamoja , diamond amefanya part yake akamtumia kila kitu kipo sawa bado kufanya Video tu.
 
Diamond tinakupenda sana kama mashabiki , najua huna roho mbaya kama hilo lizee Ruge, yaani lilimnyonya dada wa watu alipokuwa maarufu na sasa hata haka kadogo bado limejinufaisha lenyeweee

Diamond msaidie binafsi huyo Saida , yaani hela kampe mkononi japo afaidi hata matunda ya sauti yake mama wa watu...


Huu utapeli wenu wahaya ndo maana hata Mungu anaulaani mkoa wenu

[HASHTAG]#BringBackSaidaKaloliMoney[/HASHTAG]
 
Ndugu punguzeni jazba lazima bin laden atamcheki chamber Bi.saida ndichi kwa ndichi.
Hizi hasira zenu zitunzeni mzitumie kupigania taifa na maendeleo ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…