Eti jamani. Inawezekana kwa kuwa mkataba Ulikuwa wa huyo Sijui Mutasomething basi ndiye aliyepewa hizo hela masikini Saida anaona diamond amedhulumiwa. Diamaond nina hakika unapitia hapa. Mpe said Equal amount of money uliyompa huyo meneja feki! Kwa ni unajua kabisa Mtunzi ni nanai! Nawe unaingia katika dhambi ya kumdhulumu huyu mama? KHRC wako kimya tu hawamtetei huyu mama!
Yaani hii comment imenitia huruma sana, bora nisinunue vitenge vipya miaka 10 nipeleke wanangu shule.
Btw hivi gharama zakuvunja mkataba kama wa saida na FM zinaweza kuwaje? Hebu lawyers wa humu watusaidie.