elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Maskini hajui hata kama ule wimbo siyo mali yake.Atoe bure wimbo kwani mali yake??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini hajui hata kama ule wimbo siyo mali yake.Atoe bure wimbo kwani mali yake??
PRINCESS NIFAA. WAHAYA HAWAZEEKAGI. WANARUTUBA YA UGALI WA MUHOGO.Mhhhhhh bila shaka umekula tani kadhaa za chumvi,kama hadi leo unamuona Saida msichana.....
Muimbaji huyo amedai hizo asilimia 25 za mapato za wimbo ‘Salome’ ambazo zilielezwa na viongozi wa WCB hazijui kwa kuwa hakuhusishwa kwenye hilo.
“Tatizo limekuja kwa meneja wangu aliyempatia Diamond kazi, mimi nimempatia bure Diamond hiyo kazi aitumie,” alisema Saida katika runinga ya KUTV ya nchini Kenya. “Lakini kwenye kusikia masikioni kwangu na kwenye vyombo vya habari kwamba Diamond amempatia pesa milioni 25 meneja wangu wakawa wametengeneza mkataba kwamba huu wimbo utatumika hivi na hivi ila mimi kama mimi huo mkataba siujui na wala sikuuona na wala hawakunionyesha. Mimi ninachojua nimempatia kazi Diamond bure ili aitumie tuinuane wasanii wa Tanzania,”
Pia muimbaji huyo amedai yeye alishiriki kiasi fulani katika kuandaa kiitikio cha wimbo huo kwa kuingiza sauti yake.
kijana mwenzake.....Mhhhhhh bila shaka umekula tani kadhaa za chumvi,kama hadi leo unamuona Saida msichana.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mhhhhhh bila shaka umekula tani kadhaa za chumvi,kama hadi leo unamuona Saida msichana.....
Ni kweli umemuinua kijana maana alikuwa kaanza kupotea!