Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Msanii wa nyimbo za asili Saifa Karoli aliyevuma kitambo amefunguka na kusema kuwa kitendo cha msanii Diamond Platnumz kurudia moja ya kazi yake anajihisi kuzaliwa upya.
Saida Karoli
Saida Karoli ambaye aliwahi kufanya vizuri na nyimbo kama"Mapenzi kizunguzungu,Kaisiki,Maria Salome na nyingine kibao na alifanikiwa kilele soko la Afrika Mashariki kwa nyimbo hizo na kujipatia umaarufu mkubwa mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Said a Kalori amesikika kwenye clip ambayo ameipost Diamond Platnumz kwenye mitandao yake ya kijamii na kusema kuwa mwanzoni waandishi wa habari walisha msahau walikuwa hawanfuatilii tena,laki I hata baadhi ya watu pamoja na ndugu zake walikua waliambiwa kuwa amekufa lakini baada ya kazi ya Diamond Platnumz kutoka imemrejesha watu kwenye himaya take kwani wameanza kumtafuta na Kumpigia simu sana.
"Mimi nimejisikia vizuri hii kazi tunayofanya ni kwa ajili ya mashabiki,mashabiki ndiyo wadau wetu wanaotufanya sisi,tuwe juu kwa hiyo si kazi ya kwangu Mimi peke yangu,ila Mimi kama Mimi,nimejisikia vizuri kusikiliza kwa sababu hata vyombo vya habari vilinisahau Leo hii vinanitafuta,haya ndugu zangu baadhi na wengine wanajua hata siko duniani wanajua nilishakufa lakini Leo hii naona watu mbalimbali wananitafuta kweli nimefunguka najihisi kuzaliwa upya" alisikika Saida Kalori.
Chanzo:East Africa Television (EATV)
Saida Karoli
Saida Karoli ambaye aliwahi kufanya vizuri na nyimbo kama"Mapenzi kizunguzungu,Kaisiki,Maria Salome na nyingine kibao na alifanikiwa kilele soko la Afrika Mashariki kwa nyimbo hizo na kujipatia umaarufu mkubwa mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Said a Kalori amesikika kwenye clip ambayo ameipost Diamond Platnumz kwenye mitandao yake ya kijamii na kusema kuwa mwanzoni waandishi wa habari walisha msahau walikuwa hawanfuatilii tena,laki I hata baadhi ya watu pamoja na ndugu zake walikua waliambiwa kuwa amekufa lakini baada ya kazi ya Diamond Platnumz kutoka imemrejesha watu kwenye himaya take kwani wameanza kumtafuta na Kumpigia simu sana.
"Mimi nimejisikia vizuri hii kazi tunayofanya ni kwa ajili ya mashabiki,mashabiki ndiyo wadau wetu wanaotufanya sisi,tuwe juu kwa hiyo si kazi ya kwangu Mimi peke yangu,ila Mimi kama Mimi,nimejisikia vizuri kusikiliza kwa sababu hata vyombo vya habari vilinisahau Leo hii vinanitafuta,haya ndugu zangu baadhi na wengine wanajua hata siko duniani wanajua nilishakufa lakini Leo hii naona watu mbalimbali wananitafuta kweli nimefunguka najihisi kuzaliwa upya" alisikika Saida Kalori.
Chanzo:East Africa Television (EATV)