Saida Karoli: Waliorudia wimbo wa Chambua kama karanga hawajanipa chochote

Saida Karoli: Waliorudia wimbo wa Chambua kama karanga hawajanipa chochote

Kwa nguvu ya Clouds Fm Saida Karol atang'aa.hivi sasa wanafanya promo ya shoo itakayofanyika kuadhimisha miaka 15 kwenye mziki.nani asiyejua nguvu ya mawingu FM?. Shoo zinaanza kumwangukia Saida.
Mawingu hata wafanyaje, huyu bibi taa zimeshamzimia hawezi rud tena usitishwe na huo upepo wa wiki hizi mbili
 
Muda si mrefu wanga wataanza kumuwaingia huyu mama...

Kuna watu shetani afadhali...
 
Mama karejea kwa Kishindo... Mpeni support.
 
Lakini nilisikia kuwa alikubaliana na Diamond kuwa aurudie wimbo wake.
 
Kwa nguvu ya Clouds Fm Saida Karol atang'aa.hivi sasa wanafanya promo ya shoo itakayofanyika kuadhimisha miaka 15 kwenye mziki.nani asiyejua nguvu ya mawingu FM?. Shoo zinaanza kumwangukia Saida.

Atang'aa kwa wahaya wenzake labda but hana kipya..kijana gani wa kisasa atakaa kusikiliza ngoma za saida alizoachia kipindi hiki!?Wakati wake ulishapita,muziki wa sasa unahitaji ubunifu wa hali ya juu ili usikike...Zama zingine hizi wasanii wenye uwezo kila kona.Sio za nyimbo za Saida.
 
Saida Karoli: Sijawahi kupokea fedha yoyote toka kwa wasanii waliorudia wimbo wa 'Chambua Kama Karanga".
39e2efbbfaa382dbab28cd250c8889d7.jpg
Huyu mwanadada ana nyota ya Kutapeliwa...
 
Huyu naye tumemchoka.. Akizaa akimaliza kunyonyesha tu anaanza kelele
 
Na yeye alisema kwenye interview kuwa Muta alimtafuta akamwambia Diamond anataka kutumia kazi yke. .

Muta ndio mmiliki wa kazi za Saida kwa hiyo alichofanya ni kumtaarifu na Saida akabless ila Muta hakumuambia kuhusu malipo yeyote na wala hakumpa Diamond chance kuongea na Saida directly. .

Kufika mjini ndio anakuja sikia habari kuwa kulikuwa na malipo. . Sema alipuuza coz yeye alikubali bila kuhitaji chochote in return. .

She is very wise. . Angekuwa na elimu huyu mama angekuwa mbali. . Watangazaji walikuwa wanajaribu kumchokonoa aseme Muta alimzingua but she kept answering their questions very technically and loved every bit of it. .
Hata mie nimeshangaa uwezo wa huyu mama kujibu maswali, ushauri asifukue makaburi Muta hakuwa mzuri kwake aanze na moja uwezo na kwa msaada wa watu wazuri anaweza.
 
Kwa nguvu ya Clouds Fm Saida Karol atang'aa.hivi sasa wanafanya promo ya shoo itakayofanyika kuadhimisha miaka 15 kwenye mziki.nani asiyejua nguvu ya mawingu FM?. Shoo zinaanza kumwangukia Saida.
Pia wanamuandaa kwa ajili ya fiesta
 
Back
Top Bottom