Mawingu hata wafanyaje, huyu bibi taa zimeshamzimia hawezi rud tena usitishwe na huo upepo wa wiki hizi mbiliKwa nguvu ya Clouds Fm Saida Karol atang'aa.hivi sasa wanafanya promo ya shoo itakayofanyika kuadhimisha miaka 15 kwenye mziki.nani asiyejua nguvu ya mawingu FM?. Shoo zinaanza kumwangukia Saida.
Mbaya zaidi madancer wake ni watoto wake[emoji86] [emoji86] [emoji86]Mawingu hata wafanyaje, huyu bibi taa zimeshamzimia hawezi rud tena usitishwe na huo upepo wa wiki hizi mbili
Hapo ndipo ngoma inogileWakati huohuo Ruge na Saida wote ni waitu
Kwa nguvu ya Clouds Fm Saida Karol atang'aa.hivi sasa wanafanya promo ya shoo itakayofanyika kuadhimisha miaka 15 kwenye mziki.nani asiyejua nguvu ya mawingu FM?. Shoo zinaanza kumwangukia Saida.
Huyu mwanadada ana nyota ya Kutapeliwa...Saida Karoli: Sijawahi kupokea fedha yoyote toka kwa wasanii waliorudia wimbo wa 'Chambua Kama Karanga".
Hata mie nimeshangaa uwezo wa huyu mama kujibu maswali, ushauri asifukue makaburi Muta hakuwa mzuri kwake aanze na moja uwezo na kwa msaada wa watu wazuri anaweza.Na yeye alisema kwenye interview kuwa Muta alimtafuta akamwambia Diamond anataka kutumia kazi yke. .
Muta ndio mmiliki wa kazi za Saida kwa hiyo alichofanya ni kumtaarifu na Saida akabless ila Muta hakumuambia kuhusu malipo yeyote na wala hakumpa Diamond chance kuongea na Saida directly. .
Kufika mjini ndio anakuja sikia habari kuwa kulikuwa na malipo. . Sema alipuuza coz yeye alikubali bila kuhitaji chochote in return. .
She is very wise. . Angekuwa na elimu huyu mama angekuwa mbali. . Watangazaji walikuwa wanajaribu kumchokonoa aseme Muta alimzingua but she kept answering their questions very technically and loved every bit of it. .
Pia wanamuandaa kwa ajili ya fiestaKwa nguvu ya Clouds Fm Saida Karol atang'aa.hivi sasa wanafanya promo ya shoo itakayofanyika kuadhimisha miaka 15 kwenye mziki.nani asiyejua nguvu ya mawingu FM?. Shoo zinaanza kumwangukia Saida.