Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ponda mali kufa kwaja!tayari tunazo mkuu
Fanya na wewe huo ufisadi kama ni rahisi.Kama yeye!
Za ufisadi, wizi, udanganyifu!
Role model wa kibongo!
Angalia ndinga hapo ndiyo ujue kiasi gani unahitaji.Pesa tunazo labda ataje ni kiasi gani zinatakiwa.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Watu wanaopsta pesa kwa nguvu zao, bila mbanga, ni wacache sana, mtu kama Eron musk, sasa huyu mwamba, ye ye kapata ukwasi kupitia kuoa binti wa mkubwa, bila hivyo ange kuwa kenge tu magambaMessage sent and delivered!View attachment 3148469
Alifanya ufisadi mkubwa kwenye tenda ya polisi!Watu wanaopsta pesa kwa nguvu zao, bila mbanga, ni wacache sana, mtu kama Eron musk, sasa huyu mwamba, ye ye kapata ukwasi kupitia kuoa binti wa mkubwa, bila hivyo ange kuwa kenge tu magamba
Hamna jamii mbaya ambayo inakuwa inspired na watu wa ajabu mafisadi,wauza unga,wala rushwa nk.Ndicho kinacho tokea Mexico, vijana wanawaona wakina El Chapo ni mashujaa, kama wamuonavyo Lugumi kumbe nae ufisadi ndio ulio mpa hela.
Huyo Anaitwa Said Lugumi kamkaribisha Chief Godlove kwenye hekalu lake na lundo la magari, Chief Godlove abaki mdomo wazi, nani kama Said LugumiMessage sent and delivered!View attachment 3148469
El CHAPO ni muuzaji mkumbwa wa madawa wa Mexico.Unaweza ukagoogle ukamfahamu vizuri.EL NDIO NANI
Muislam siyo Uislam.Halafu ni mwislamu mwenzetu huyu, hajajenga hata msikiti wala madrasa.
Una ujinga mwingi sana.Muislam siyo Uislam.
Kumbuka hilo.
Naona hoja imekuingia barabara mpaka unawacha hoja unanivaa mimi.Una ujinga mwingi sana.
Said Mwema anamfikia Lugumi hela na maisha.Watu wanaopsta pesa kwa nguvu zao, bila mbanga, ni wacache sana, mtu kama Eron musk, sasa huyu mwamba, ye ye kapata ukwasi kupitia kuoa binti wa mkubwa, bila hivyo ange kuwa kenge tu magamba