Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
- Thread starter
- #221
Nimefika Katika Office Za Mwanahalisi Hapa Mwananyamala Wanasema Kwamba Hawakuwahi Kuomba Msaada Wala Mchango Toka Kwa Mtu Kikundi Au Dini Yoyote Ile Na Wanashangaa Sana Wanasema Watakja Jf Wenyewe Kuongea Zaidi Kuhusu Jambo Hili Kwa Sasa Hawako Tayari Lakini Wameshangaa Sana Kwanini Wanachangiwa Wakati Hawakuwahi Kuomba Kufanyiwa Hivyo Na Mtu Au Kikundi Au Chama
Wewe ni takataka na unanuka takataka .Ondoa Umbeya wako na uchakubimbi.I knew you would come up with these crap nikaja MwanHalisi.I am right na nakujua kwa sura hujafika hapa .Wacha uongo yaani nilitaka ku prove hili .Umeongea na nani kati ya hawa watu 5 ambao tuko hapa ndani ?Umeongea naye wapi na saa ngapi ?