Nimefika Katika Office Za Mwanahalisi Hapa Mwananyamala Wanasema Kwamba Hawakuwahi Kuomba Msaada Wala Mchango Toka Kwa Mtu Kikundi Au Dini Yoyote Ile Na Wanashangaa Sana Wanasema Watakja Jf Wenyewe Kuongea Zaidi Kuhusu Jambo Hili Kwa Sasa Hawako Tayari Lakini Wameshangaa Sana Kwanini Wanachangiwa Wakati Hawakuwahi Kuomba Kufanyiwa Hivyo Na Mtu Au Kikundi Au Chama
This is a good start. But JF members are not as dumb as some here wants us to believe. Nothing wrong with asking questions, KUBENEA et al knew what would come when they decided to write what they wrote without having any meaningful funds to support themselves.
As such, I can't see much hypocrisy in pointing out MWANAHALISI's shortcomings. Hypocrisy is the accusation of something of which one pretends to be immune: as far as I can see no one has pretended to such immunity.
What has been criticised is MWANAHALISI's tendency to doom-mongering, hyperbole, to infantilise debate (where it permits one), to uninformed judgement, and to its own hypocrisy where it condemns one week what it has bigged up the previous one: running scare stories about "fisadi mkuu JK" in good times while asking for the same JK'S govt for mediacl assistance to India etc.
I find it strange that of the points you responded to from my original post , none of my actual criticisms were addressed: namely factual inaccuracy, recycled stories and so on. Instead you go off on one about freedom of expression, a right which no one, least of all me, has contested.
I also find it bizarre that you assume that everyone commenting hereon JF is dumb as MWANAHALISI readers.In any case, a balanced consumer of news would read a variety of sources. You and some here mightcorrectly point out that MMWANAHALISI readers may well do so: but some sources are better than others (i.e. more accurate and factual, less opinionated and biased). I am not talking about the comment pieces but the basic, factual, news reporting itself. In this respect almost any broadsheet is better than almost any tabloid - using the yardstick of quantity and accuracy of information and minimal editorial bias.
The intrusion of overt bias into ordinary "factual" reporting in the MWANAHALISI and other tabloids is a disincentive to critical thought and finding out more from other sources (why bother when my newspaper has already told me what to think?), unless you happen to be inclined that way already, and/or already consult other, better sources, in which case why would you be reading a mid-market tabloid with little factual content MWANAHALISI?? For the horoscope, perhaps.
Nimefika Katika Office Za Mwanahalisi Hapa Mwananyamala Wanasema Kwamba Hawakuwahi Kuomba Msaada Wala Mchango Toka Kwa Mtu Kikundi Au Dini Yoyote Ile Na Wanashangaa Sana Wanasema Watakja Jf Wenyewe Kuongea Zaidi Kuhusu Jambo Hili Kwa Sasa Hawako Tayari Lakini Wameshangaa Sana Kwanini Wanachangiwa Wakati Hawakuwahi Kuomba Kufanyiwa Hivyo Na Mtu Au Kikundi Au Chama
You assume that because I accused MWANAHALISI of pushing its own editorial line as the expense of accuracy.You seem to equate criticism with pushing one's own personal preferences, and the attempt to force one's own orthodoxy on the object of criticism.
Rule of law unayoisema hapa ni ipi? ya kusaini mkataba wa kifisadi wa richmond?
Mwanahalisi hawajaomba msaada bali memba wa JF wameamua kuwachangia. Wewe unaweza kupeleka mchango wako kwa mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata rostam azizi ili kujenga hiyo "rule of law"
sio habari ya kulipenda au kutolipenda.
watu wanapenda kufanya kitu for a cause......
na nafikiri watu wengi wangependa kufahamishwa as to why wachange.
na sio mtu akiuliza kwa nini achange anaambiwa kaa hulipendi usichange
Aliyeanzisha mambo ya comoro ni wewe mkuu!
The same way you make judgements about mwanahalisi
So now you call yourself a critical thinker?
NOw this tells alot about your "critical thinking"
Tafadhali Lunyungu hebu nieleweshe kweli mnataka mchango ? Wa nini kama ni "issue" nitumie kwenye PMWewe ni takataka na unanuka takataka .Ondoa Umbeya wako na uchakubimbi.I knew you would come up with these crap nikaja MwanHalisi.I am right na nakujua kwa sura hujafika hapa .Wacha uongo yaani nilitaka ku prove hili .Umeongea na nani kati ya hawa watu 5 ambao tuko hapa ndani ?Umeongea naye wapi na saa ngapi ?
The same way you aint getting away with your rubish!
That still doesn't stop the initial argument. MWANAHALISI has been preaching about morals to politicians left and right while its editor (KUBENEA) is alleged to be adulterer that it is so much easier to consume junk but the knock on effects to mind and body are so unhealthy and makes for an unhealthy society. Perhaps MWANAHALISI should come with a public health warning, "Reading this paper could severely impair your rational judgement".
Among then is refusing to this "CHANGIA MWANAHALISI" nonesense
you dont help JF members make their money thus you cant decide on where and how they spend their money.
can somebody tell me, mfano mwanahalisi limechangiwa, kila mtu katoa kidogo kidogo, RA akafuta kesi.
zile pesa zitafanywaje?
Tafadhali Lunyungu hebu nieleweshe kweli mnataka mchango ? Wa nini kama ni "issue" nitumie kwenye PM