Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea


Wewe ni takataka na unanuka takataka .Ondoa Umbeya wako na uchakubimbi.I knew you would come up with these crap nikaja MwanHalisi.I am right na nakujua kwa sura hujafika hapa .Wacha uongo yaani nilitaka ku prove hili .Umeongea na nani kati ya hawa watu 5 ambao tuko hapa ndani ?Umeongea naye wapi na saa ngapi ?
 


Mwanahalisi will get my contribution just to get a piece of that thief Rostam. So hang yourself if you dont like it!


You had nothing real in your postings than rants! Dont wait for answers if all you have is rants!





You are the one who making such assumptions and likely acting as one!




Mwanahalisi is beyond your comprehension so get a life!
 




Wewe ni takataka na unanuka takataka .Ondoa Umbeya wako na uchakubimbi.I knew you would come up with these crap nikaja MwanHalisi.I am right na nakujua kwa sura hujafika hapa .Wacha uongo yaani nilitaka ku prove hili .Umeongea na nani kati ya hawa watu 5 ambao tuko hapa ndani ?Umeongea naye wapi na saa ngapi ?
 

Neah,

You are the one who is doing just the same things you are throwing rants about!
 
sasa hivi ni vita baina ya Game theory na Mwafrika wa Kike au na sisi wenye masuala tunaweza kujibiwa?
 
Rule of law unayoisema hapa ni ipi? ya kusaini mkataba wa kifisadi wa richmond?


Unfortunately nothing has been proved

Mwanahalisi hawajaomba msaada bali memba wa JF wameamua kuwachangia. Wewe unaweza kupeleka mchango wako kwa mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata rostam azizi ili kujenga hiyo "rule of law"



Sorry to disappoint you, I wont be part of this charade
 
sio habari ya kulipenda au kutolipenda.
watu wanapenda kufanya kitu for a cause......
na nafikiri watu wengi wangependa kufahamishwa as to why wachange.
na sio mtu akiuliza kwa nini achange anaambiwa kaa hulipendi usichange

SIo lazima wewe uchangie mkuu!
 
Lunyungu samahani mkuu hebu naomba utusaidie na hii hoja kidogo.
tuchangie nini kwa mwanahalisi? mawazo? pesa? kuwa nao pamoja ...au?
na kama pesa ni pesa ya kufanyia nini?
ni hayo tu machache
 
Tafadhali Lunyungu hebu nieleweshe kweli mnataka mchango ? Wa nini kama ni "issue" nitumie kwenye PM
 

Mhh,

This tells alot about you than I previously thought
 
For bytes sake..hebu tuache malumbano ya nani mkali ...tuambiane ukweli. MCHANGO WA NINI?TUELEZANE HOJA INAYOELEWEKA!. Kwa mtazamo wangu umaarufu wa JF sasa unatuponza watu wanalumbana kwa mambo yasiyo ya msingi na pia heshima baina yetu imeshuka. ADMIN tafadhali tafuta jinsi ya kuzima hii tabia.JF haikuwa hivi ukiuliza swali ulikuwa unajibiwa ...sasa mtu akiulizwa kitu kidogo badala ya kujibu jibu..anaanza kufanya "psychological assessment ya aliyeandika".
 
JF inafurahisha na kuelimisha sana.

Watu humu mtajifanya mnaongea na kuwa anaytical thinkers, wengine mpaka mnaccuse wengine.."hollier than thou"..But at the end of the day-its just hot air! all this ushahidi na mapambano dhidi ya mafisadi umewekwa hadharani na hao mnaoona kwamba akili yao ni finyu, kwamba hawamatch analysis za NY Times au WPost! Jamani kama wewe unauelewa wako na kisomo chako kizuri-GOOD FOR YOU! To me mtu kama Kubenea na elimu yake ya la saba au form four yuko very relevant kwa nchi yangu kuliko Professor mwenye Phd ya Oxford ambaye alikimbilia ulaya "kwa maslahi madogo nyumbani" ambaye yuko kwenye Laptop yake somewhere in london-gathering audacity to undermine the well intentioned efforts za watu kama Kubenea. Wewe mefanya nini? au ni kulaumu tuuu? Have you ever imagined what the likes of Kubenea go through in a country like Tanzania? au unafikiri ukimuona John King wa CNN akireport toka White House..basi unajua dunia nzima lazima tuwe hivyo? Please get life Bongo isnt Washington!

Kumchangia Kubenea au Mwanahalisi ni hiari yako, hulazimishwi na mleta mada bana Lunyungu hakulazimisha mtu. Kwanza Kubenea hajaomba huo mchango! ni watu ambao wanaapreciate kazi yake. If you dont, relax and read your paper.

Wengine ni obstructinist by nature, hata ungewafanyia nini, they will never see anything good from one`s efforts.
 
Game Theory taire baba. ......
vita vya watu wawili vya majibizano ya namna hii havimsaidii mtu.

fahamisha jamii kwa nini kwa muono wako watu wasichangie, na muafrika wa kike mwache atoe zake.

na tulobakia tupate kuchangia kutokana na hoja zilizotolewa
 
can somebody tell me, mfano mwanahalisi limechangiwa, kila mtu katoa kidogo kidogo, RA akafuta kesi.
zile pesa zitafanywaje?

Hizo pesa zitalipa walinzi wa ziada watakaolinda selo ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata pale ukonga!
 
jamani Mwanahalisi ni gazeti la biashara, lazima watakuwa wana program zao za kujilinda kisheria.

lakini iwapo wameamua kuomba msaada upo utaratibu na kanuni za jinsi ya kuomba misaada.
siyo mtu mwingine asiyiwakilisha kampuni kuwasemea

mtu kuibuka kwa hisia na emotion kwamba changia mwanahalisi bila wao kukutuma kwa sababu unaridhishwa na kazi zao!. duh.

leo utachangia mwanahalisi, je baadae likiamua kwenda kinyume na habari unazozipenda je? utadai chako in the future?. jiulizeni ile RAI ya zamani ndiyo RAI ya sasa?

kama ni kuchangia zipo programu zinazopaswa kuchangiwa kwa udi na uvumba, mfano ile ya mafuriko, wanafunzi ukraine, ndoa za members(wanaoomba michango, siyo wanaoombewa michango)na yale yanyomgusa mtu moja kwa moja, au hata kama si michango ya aina hiyo mtu mwneyewe ajitokeze aombe msaada siyo kuombewa msaada na mtu asiyehusiana naye
 
Tafadhali Lunyungu hebu nieleweshe kweli mnataka mchango ? Wa nini kama ni "issue" nitumie kwenye PM

Mama Lao
Mimi nilitoa wazo kwa maana ya muungano katika kupinga ujinga na ujambazi.Mimi Lunyungu si mwandishi na nimekuja hapa kwa mambo 2 1.Kuona huyu mtoto shy ama Yona Maro kama atakuja hapa na alete umbeya badaye .Hili nimelimaliza maana kesha sema uongo nikiwa hata sijaondoka hapa Kinondoni .

2.Naongea na hawa jamaa kuona kama nia yetu njema ambayo tuna ionyesha iendelee ama wana mpango gani .Wao wanajipanga kwanza na wataona la kufanya .Mchango utatakiwa kama wale wanasheria wa kujitolewa watakataa lakini hadi sasa wanasema wana endelea vyema na watasema .Hawa jamaa ni wanachama wa JF so they will come forward when is right time for them to do .

Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…