Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Unajua wanapomfungia ndipo anapopata nafasi ya kudai anaonewa na ya kuwa amenyimwa nafasi ya kujitetea and all the bs. Hapa kuna watu wazima na wanaweza kuona na sidhani kama kuna mtu anaweza kushtushwa na anachosema.

Hapana, wote wamesoma alichoandika na wakati mwingine inabidi hatua kali zichukuliwe kwa watu kama yeye.
 
Mimi nadhani Chnga ni chachu nzuri tuu humu ndani na sidhani kama idea ya kumfungia ni nzuri ila naweza kumuudu huyu hivyo niacheni nitamwambia aache matusi na ndio maana wengine tulishaomba zipunguzwe forums na ile forum ya INCREDIBLE igeuzwe iwe ya special debate...na hiyo special debate iwe baina ya watu wawili tuu...kwa muda at least ya wiki 3 kisha iingizwe debate ya watu wengine wawili

Personally ningependa kuona debate baina ya Chinga na Kubenea au Sokomoko for minimum 3 weeks

sie wengine tutaingia kusoma tuu

mnaonaje?

lakini namuombea msimfungie mwacheni mimi nitaongea naye in private kuhusu matusi lakini tuangalie na wengine ambao nao wanamtukana kwani Chinga si yule wa kutoa shavu la pili

Ameshafungiwa tayari kwa hiyo hii itasubiria akirudi na ID nyingine!
 
Pia ni gazeti ambalo lilka kimya nchi ilipopeleka wanajeshi wetu kule COMORO bila kueleweka kuwa tunalipwa na na nani...in the end hili gazeti lilikaa kimya wakati tunatumia ma bilioni COMORO. Zaidi ya hayo gazeti hili ambalo mtu angetegemea lingekuwa na waa ndishi makini limekuwa kimya kuhusu Utata wa URAIA WA SALVA RWEYEMAMU, ZANZIBAR KUJIUNGA NA OIC ,WANAFUNZI WETU UKRAINE na mengineyo mengi tuu humu Jambo Forums.

Je ni mara ngapi MWANAHALISI LIMEWAPA BIG UP JAMBO FORUMS?





KUBENEA hakutumia pesa kummaliza LOWASSA bali alipomaliza pesa za mwanzo na akaahidiwa kuwa zinaandaliwa fungu la pili ndipo akakasirika kwa nini hakuewa as soon as possible

Kilichomwondoa LOWASA si MWANAHALISI kwani tayari KUBENEA laikuwa kwenye PAYROLL YA LOWASSA bali ni ile ripoti ya MWAKYEMBE ndio iliyomwondoa Lowassa kibaruani




Kama alikula pesa za Lowassa what makes you think alikuwa hali na hao mafisadi wengine?





Hapa kuna watu wanataka kuforce NDOA betweem MWANAHALISI na JAMBO FORUMS hiii mimi siitaki hata kuona kwani sisi kama JF tunatakiwa tuwe independent kama tulivyokuwa siku zote

KUBENEA alipewa pesa kabla ya Tindikali, akatuliza ball for a while ..baadae akalalama kuwa biashara ya Gazeti ni matangazo hivyo akaomba wampe matangazo wakati bado wanaendelea kulishughulikia hilo ..ohoooo KUBENEA akaanza kuwatukana hao wao waliompa pesa hapo awali sasa kabla episode ya Tindikali haijafika walimchomea gari lake kama message ...sasa leo kibao kimegeuga anata hii UN HOLLY ALLIANCE na JF

simuelewi huyu mtu, je kesho akitokea mwtu mwingine akimuoffer mapesa atashindwa kutugeuka huyu?

At most naweza kumfananisha na wale watu wa pale mtaa wa Ohio.








Kubenea ni mtu wao na hili linajulikana sasa nashangaa inawezekana kabisa kuwa hii ni strategy ya kutuyeyusha au kutuletea longo longo.

Kama anashida sana aende kwa Salva ,maana i am 100% mindset zao zinafana fanana.

huu ni wenda wazimu ltuna mengi ya kufanya humu na kama huyu angekuwa anataka ku keep it real angetulipia bill tya server ya miaka 2 ndio walau tungefikiria namna ya kumsaidia. Wee mtu akiumwa serikali inamlipia matibabu India lakini sie wenzetu wakikamatwa toka humu ndani alikuwa kimya

what a leech he is




hatokujibu straight kwa sababu hana jibu

GAME THEORY u r very wrong na nina mashaka na taarifa zako! Tanzania hakutoa senti tano nyekundu kupeleka majeshi comoro ni Gadafi na Italy ndio waliogharamia!

Kwa kuwa unatungatunga story inanifanya niwe na wasiwasi na wewe! Hebu tuambie unalipwa ngapi kwa kazi hii ukiona aibu ni PM. Plz


Hatujasahu topic ni kumsadia Kubenea na MwanaHalisi
 
Chinga na GT naona mmegundua kuwa RA amechemsha maana anakwenda kuimbua CCM mahakamani, mnatumia mbinu ya kutaka Kubenea asisaidiwe ili mmtishe amwangike RA, that will never happen mlimzui kuonge bungeni sasa ataongea mahakamani, maana report ya mwakyembe hakuandika kubenea ambayo imemtaja RA kuwa anamiliki Richmond, kwanini hakumshitaki mwakyembe ambaye alimtaja kabisa.

Sisi tutamsaidia wakutane mahakamani ili RA atueleze ukweli Richmond ni ya nani.

Usikute siku ya kesi wakaishia mitini. Unakumbuka hata Chenge, Mkono, kampuni la kifisadi la IMMA nao wametishia kushitaki vyombo ya habari?
 
Mama mbona ukisoma alichoandika kabla ya kufungiwa wiki moja utafunga computer?

Huyu bwana kiboko, atanifanya niwazuie hawa malaika wangu kuingia humu. Nilidhani watajifunza kuupiga vita ufisadi na kujenga hoja.
 
Huyu bwana kiboko, atanifanya niwazuie hawa malaika wangu kuingia humu. Nilidhani watajifunza kuupiga vita ufisadi na kujenga hoja.

ni hasira tu zinamsumbua kwa kufukuzwa kazi! Akippata nyingine au akigundua kuwa wakristo wapo bongo to stay atakuwa na heshima kidogo.
 
.

Sisi tutamsaidia wakutane mahakamani ili RA atueleze ukweli Richmond ni ya nani.

Hili suala ni Muhimu sana tunatakiwa kumsaidia Kubenea hili tujue kulikoni zile pesa/garama za umeme kupanda kiasi kile tunamlipa nani?

Tuna uhakika RA anajua vizuri na baadhi ya vigogo wa CCM(wenye chama) wanajua vizuri.
 
GAME THEORY u r very wrong na nina mashaka na taarifa zako! Tanzania hakutoa senti tano nyekundu kupeleka majeshi comoro ni Gadafi na Italy ndio waliogharamia!



Whoaaaa!!!!!(Red)

Kasome hotuba ya Kikwete ya mwezi wa nne amezungumzia kuhusu malipo...back to the thread.
 
Chinga na GT naona mmegundua kuwa RA amechemsha maana anakwenda kuimbua CCM mahakamani, mnatumia mbinu ya kutaka Kubenea asisaidiwe ili mmtishe amwangike RA, that will never happen mlimzui kuonge bungeni sasa ataongea mahakamani, maana report ya mwakyembe hakuandika kubenea ambayo imemtaja RA kuwa anamiliki Richmond, kwanini hakumshitaki mwakyembe ambaye alimtaja kabisa.

Sisi tutamsaidia wakutane mahakamani ili RA atueleze ukweli Richmond ni ya nani.

Kuhusu Rostam msimamo wangu uko pale pale. He is still innocent until proved guilty by the court of law beyond reasonable doubt.

Je ni mtu safi? Sijui lakini lisemwalo waswahili wanasema lipo lakini siwezi kuingia kwenye mkumbo wa kukubali kuwa ni fisadi wakati hakuna ushahidi uliopelkwa kwenye vyombo vya sheria kuthibitisha hilo.

Je nataka ajieleze? Ndio nataka sana apewe nafasi hiyo kwani mimi I am not a proponent wa LAW OF THE JUNGLE maana kama ndio hivyo basi tuanzie na Nyerere ambaye waziri mkuu wake Msuya naye inasemekana alikuwa ni FISADI kisha tumalizie na JK

Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?


Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?
 
Kuhusu Rostam msimamo wangu uko pale pale. He is still innocent until proved guilty by the court of law beyond reasonable doubt.

Je ni mtu safi? Sijui lakini lisemwalo waswahili wanasema lipo lakini siwezi kuingia kwenye mkumbo wa kukubali kuwa ni fisadi wakati hakuna ushahidi uliopelkwa kwenye vyombo vya sheria kuthibitisha hilo.

Ndio maana inabidi apelekwe mahakamani kwa ufisadi ili ijulikane kuwa ni safi au si safi!

Je nataka ajieleze? Ndio nataka sana apewe nafasi hiyo kwani mimi I am not a proponent wa LAW OF THE JUNGLE maana kama ndio hivyo basi tuanzie na Nyerere ambaye waziri mkuu wake Msuya naye inasemekana alikuwa ni FISADI kisha tumalizie na JK

Sidhani kama unataka kushitaki kaburi la Nyerere.

Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?


Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?

Uvendeta uko wapi?

Jukumu la kupeleka criminal ni la serikali na so far naona wako kimyaaaaaa
 

Kuhusu Rostam msimamo wangu uko pale pale. He is still innocent until proved guilty by the court of law beyond reasonable doubt.

Je ni mtu safi? Sijui lakini lisemwalo waswahili wanasema lipo lakini siwezi kuingia kwenye mkumbo wa kukubali kuwa ni fisadi wakati hakuna ushahidi uliopelkwa kwenye vyombo vya sheria kuthibitisha hilo.

Je nataka ajieleze? Ndio nataka sana apewe nafasi hiyo kwani mimi I am not a proponent wa LAW OF THE JUNGLE maana kama ndio hivyo basi tuanzie na Nyerere ambaye waziri mkuu wake Msuya naye inasemekana alikuwa ni FISADI kisha tumalizie na JK

Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?


Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?


I am OFF inaonyesha umetumwa na RA pengine kwa kupewa muda wa maongezi wa vodacom
 

Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?


Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?

Kwa kuwa mwenye mamlaka ya kuwapeleka mahakamani ni serikali na haijafanya hivyo na kama jina FISADI wanalichukia ni jukumu lao kujipeleka mahakamani hili wawe safi.

Vinginevyo sisi wananchi wa kawaida popote tutakapo waona tutawaita mafisadi tu. unajua hawa (Karamagi, Msabaha,EL et al) na usanii bado watanzania wanalipishwa pesa kibao za umeme kwa upuuzi wao.

Hawa ni MAFISADI tu kwani walisaini makaratasi bila kujua mwenye kampuni? Eti na wao wanasema kampuni ni hewa! uppuuzi. GT saidia kubenea tujue ukweli labda kama wewe Tanzania uliondoka na kila kitu
 
I am OFF inaonyesha umetumwa na RA pengine kwa kupewa muda wa maongezi wa vodacom

Sokomoko,

usiondoke mwenzangu na wala usidhani GT ana muda wa bure wa voda toka kwa RA. yeye ameamua kumwamini RA na sasa anasubiriwa kwenye hiyo case ili ijulikane hadi kwa GT kuwa ni kwa nini sio Kikwete au PInda anayesema chochote kuhusu mambo ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata - Rostam Azizi.
 
Kitendo cha kuandika kile ambacho magazeti yote Tanzania yalisita kuandika ilikuwa ni very big up kwa Jamboforums. JF haitaki mchango toka kwa taasisi so far. Media zikiandika kile kinachoandikwa hapa JF ni big up ya nguvu kwa JF.

Wala sikusema kuwa JF inataka mchango toka taasisi yoyote ile lakini wakati wa shida mbona mwanahalisi halikutujua? kama big up basi ni JF pamoja na KLH news ndio wakupewa hilo nalikubali lakini sio Mwanahalisi ambao at most walikuwa wanakuja kunyonya habari humu lakini walikuwa wanagoma ku acknowledge JF or KLH NEWS kama ndio source...now that is one of my problem na MWANAHALISI/KUBENEA

Kuna wengi hapa JF hawakuongelea mambo ya Comoro kwa vile hawakuwa na intelligence report kama ile uliyokuwa nayo.

But one would have expected gazeti kama la MWANAHALISI lingekuwa na habari zaidi kuhusu:

nani alimshauri JK akubali kupeleka kaka zetu kule

kwa gharama zipi?

implication yake geo-politically ingekuwa ipi?

Kwa nini Membe alikuwa anapush for that invasion?


Je Jendayi Frazer alimuahidi nini inreturn?

Na watanzania wangapi wamepoteza maisha kutokana na hiyo global Matrix?

Kwa nini baada ya invasio kule Comoro Ile manowari ya Amerika haishi kusurvey pemba na pwani zetu

so far tumefaidika nini?

surely MWANAHALISI kama kweli walitaka wawe taken kama gazeti ambalo ni serious tungeona wanauliza na wangefanya investigative journalism kwenye issue ambayo ina national interest kuliko mengine..





Unachosema hapa hakina tofauti na wale wanaosema kuwa JF inalipwa na Kikwete lakini mawe ya JF yanathibitisha otherwise.

Ukweli ni kuwa JF inaendeshwa na wanachama ili hali MWANAHALISI ilikuwa kwenye payroll ya Lowassa mpaka pale mambo yalipoharibika..kwa kiasi fulani



Mwanahalisi wameandika mengi kuhusu Lowasa na ufisadi wake mara milioni moja ya kusafishwa kulikofanywa na magazeti mengine. Kwa hili facts zinakushitaki otherwise.


Alipokea pesa na akazila sasa hii fall out ni baada ya kuambiwa asubiri kigodo ili ifanywe mipango apate matangazo ya serikali gazetini kwake...mwanzo alipokea pesa ana alizila

Hakuna aliyefanya hili mkuu kwa hiyo wewe endelea na hoja zako angainst mwanahalisi na utapata majibu accordingly.


Ambayo hawana majibu zaidi ya kupitisha bakuli..sisi hizo pesa bora tutalipia server yetu humu..kesha likoroga sasa kilichobaki mwanhalisi ni kuonyea na Insurance wao waangalie kama policy yao inawa cover kwenye hili pia




Bado ni yale yale unayoweza vyema - substance zero ila unakwenda below the belt.


thats doesnt mean kuwa kuna some element in attention whoring ya Kubenea


Sio lazima wewe uchangie kwa vile ulichotaka mwanahalisi wafanye hakikufanyika. Maelfu ya memba wengine wa JF watachangia maana wameona mchango wa mwanahalisi.


wamekuja na najisikia kuchangia na nitaendelea kuchangia kwa namna nionavyo infaa
Huwezi kupata majibu straight kama huna maswali straight!

thats bollocks
 
GAME THEORY u r very wrong na nina mashaka na taarifa zako! Tanzania hakutoa senti tano nyekundu kupeleka majeshi comoro ni Gadafi na Italy ndio waliogharamia!

Kwa kuwa unatungatunga story inanifanya niwe na wasiwasi na wewe! Hebu tuambie unalipwa ngapi kwa kazi hii ukiona aibu ni PM. Plz


Hatujasahu topic ni kumsadia Kubenea na MwanaHalisi


Ahaaa

at last nimempata mtu ambaye yuko tayari kutuambia undani wa vita ya COMORO

sasa mindali unajua kuwa tanzania haikutoa hata senti tangi nyekundu..
sasa naomba unijibu yafuatayo:

Tuonyeshe ushahidi ni wapi Libya wamelipia Gharama?

Yaani secondary na primary sources zako

SUrely you guys can provide that information


baada ya hapo maswali mengine yatafuata
 
Sokomoko,

usiondoke mwenzangu na wala usidhani GT ana muda wa bure wa voda toka kwa RA. yeye ameamua kumwamini RA na sasa anasubiriwa kwenye hiyo case ili ijulikane hadi kwa GT kuwa ni kwa nini sio Kikwete au PInda anayesema chochote kuhusu mambo ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata - Rostam Azizi.

Bila kuwasahau JEETHU EPA na VITHLANI RADAR
 

Wala sikusema kuwa JF inataka mchango toka taasisi yoyote ile lakini wakati wa shida mbona mwanahalisi halikutujua? kama big up basi ni JF pamoja na KLH news ndio wakupewa hilo nalikubali lakini sio Mwanahalisi ambao at most walikuwa wanakuja kunyonya habari humu lakini walikuwa wanagoma ku acknowledge JF or KLH NEWS kama ndio source...now that is one of my problem na MWANAHALISI/KUBENEA



Kwa maoni yangu naona Mwanahalisi wamefikisha ujumbe wa JF zaidi ya magazeti mengi sana hapo Tanzania. katika hili tukubali tu kutokubaliana.

But one would have expected gazeti kama la MWANAHALISI lingekuwa na habari zaidi kuhusu:

nani alimshauri JK akubali kupeleka kaka zetu kule

kwa gharama zipi?

implication yake geo-politically ingekuwa ipi?

Kwa nini Membe alikuwa anapush for that invasion?


Je Jendayi Frazer alimuahidi nini inreturn?

Na watanzania wangapi wamepoteza maisha kutokana na hiyo global Matrix?

Kwa nini baada ya invasio kule Comoro Ile manowari ya Amerika haishi kusurvey pemba na pwani zetu

so far tumefaidika nini?

surely MWANAHALISI kama kweli walitaka wawe taken kama gazeti ambalo ni serious tungeona wanauliza na wangefanya investigative journalism kwenye issue ambayo ina national interest kuliko mengine..

Sidhani kama ni lazima mwanahalisi walipoti story za comoro ili kupass credibility test hapa JF.



Ukweli ni kuwa JF inaendeshwa na wanachama ili hali MWANAHALISI ilikuwa kwenye payroll ya Lowassa mpaka pale mambo yalipoharibika..kwa kiasi fulani






Alipokea pesa na akazila sasa hii fall out ni baada ya kuambiwa asubiri kigodo ili ifanywe mipango apate matangazo ya serikali gazetini kwake...mwanzo alipokea pesa ana alizila




Ambayo hawana majibu zaidi ya kupitisha bakuli..sisi hizo pesa bora tutalipia server yetu humu..kesha likoroga sasa kilichobaki mwanhalisi ni kuonyea na Insurance wao waangalie kama policy yao inawa cover kwenye hili pia

BIla ushahidi katika hili nitaoona story zako kama umbea tu wenye level ya wale wanaosema kuwa JF ni ya Kikwete ili kuwaumbua mafisadi.




thats doesnt mean kuwa kuna some element in attention whoring ya Kubenea





wamekuja na najisikia kuchangia na nitaendelea kuchangia kwa namna nionavyo infaa


thats bollocks

Unaweza kutumia lugha chafu yoyote dhidi ya Kubenea kwa kadri unavyopenda lakini the guy ni far more better than mkoloni na mwizi mwenye uraia wa utata unayemtetea hapa JF kwa nguvu zote.
 
Pole sana GT sikujua kuwa wewe ni mwajiriwa wa RA, lakini leo nimejua maana kwa bidii zote unajitahidi. Usijali mpe moyo aendelee na kesi yake maakamani maana tumeshazioea juzi tu fisadi mwingine alishitaki ili na yeye asafishwe lakini mambo yakawa magumu kwake, hivi ataendelea kujulikana kuwa ni mwizi wa mali ya umma (Manji).

Hata RA tunamsubiri aende akaseme mahakamani tuone hiocho unachotetea, naona sasa ibara ya 15:1 haitakuwa na kazi tena maana mahakamani itabidi aseme kweli.
 

Ahaaa

at last nimempata mtu ambaye yuko tayari kutuambia undani wa vita ya COMORO

sasa mindali unajua kuwa tanzania haikutoa hata senti tangi nyekundu..
sasa naomba unijibu yafuatayo:

Tuonyeshe ushahidi ni wapi Libya wamelipia Gharama?

Yaani secondary na primary sources zako

SUrely you guys can provide that information


baada ya hapo maswali mengine yatafuata

Nilidhani haya maswali yako yalipata majibu kwenye thread ya comoro uliyoanzisha? au ndiyo yale yale ya kutaka kuzima issue ya mchango kwa mwanahalisi na kubenea?
 
Ndio maana inabidi apelekwe mahakamani kwa ufisadi ili ijulikane kuwa ni safi au si safi!

ndio maana nasema kuwa inabidi tuwe makini sana tunapomsema mtu fulani ni fisadi au la. Mahakama ikishaweight up ushahidi ndio tutajua ..hili nakuunga mkono


Sidhani kama unataka kushitaki kaburi la Nyerere.


La hasha naona hukunielewa nilikuwa ninamaanisha kuwa mafisadi hawakuanzia leo..kwani tangu enzi za Nyerere walikwepo ndani ya serikali yake, je inamaana nyerere naye ni fisadi? maana inaweza kumewa kuwa inawezekana naye alikuwa ni guilty by association ...ndio maana nataka sana hapa sheria ifuate mkondo wake badla ya kuwa label watu mafisadi huku tukiwa hatuna ushahidi wa kuthibitisha hayo



Uvendeta uko wapi?


Headlines za mwanahalisi

Jukumu la kupeleka criminal ni la serikali na so far naona wako kimyaaaaaa

Then hapa hakuna issue, na nina wasi wasi wakitokea ma street lawyers wanaweza hata kuishitaki JF on behalf of mtu kama Rostm kwa slander...maana soko moko alisema wazi kuwa Rostam ni fisadi mla rushwa badala ya kutumia neno allegedly ..hiyo ni tatizo and it says alot about our media

na mimi nasubiri kwa ham hiyo kesi kama hao ma prosecutors watafanya hivyo
 
Back
Top Bottom