Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Unajua wanapomfungia ndipo anapopata nafasi ya kudai anaonewa na ya kuwa amenyimwa nafasi ya kujitetea and all the bs. Hapa kuna watu wazima na wanaweza kuona na sidhani kama kuna mtu anaweza kushtushwa na anachosema.
Mimi nadhani Chnga ni chachu nzuri tuu humu ndani na sidhani kama idea ya kumfungia ni nzuri ila naweza kumuudu huyu hivyo niacheni nitamwambia aache matusi na ndio maana wengine tulishaomba zipunguzwe forums na ile forum ya INCREDIBLE igeuzwe iwe ya special debate...na hiyo special debate iwe baina ya watu wawili tuu...kwa muda at least ya wiki 3 kisha iingizwe debate ya watu wengine wawili
Personally ningependa kuona debate baina ya Chinga na Kubenea au Sokomoko for minimum 3 weeks
sie wengine tutaingia kusoma tuu
mnaonaje?
lakini namuombea msimfungie mwacheni mimi nitaongea naye in private kuhusu matusi lakini tuangalie na wengine ambao nao wanamtukana kwani Chinga si yule wa kutoa shavu la pili
Pia ni gazeti ambalo lilka kimya nchi ilipopeleka wanajeshi wetu kule COMORO bila kueleweka kuwa tunalipwa na na nani...in the end hili gazeti lilikaa kimya wakati tunatumia ma bilioni COMORO. Zaidi ya hayo gazeti hili ambalo mtu angetegemea lingekuwa na waa ndishi makini limekuwa kimya kuhusu Utata wa URAIA WA SALVA RWEYEMAMU, ZANZIBAR KUJIUNGA NA OIC ,WANAFUNZI WETU UKRAINE na mengineyo mengi tuu humu Jambo Forums.
Je ni mara ngapi MWANAHALISI LIMEWAPA BIG UP JAMBO FORUMS?
KUBENEA hakutumia pesa kummaliza LOWASSA bali alipomaliza pesa za mwanzo na akaahidiwa kuwa zinaandaliwa fungu la pili ndipo akakasirika kwa nini hakuewa as soon as possible
Kilichomwondoa LOWASA si MWANAHALISI kwani tayari KUBENEA laikuwa kwenye PAYROLL YA LOWASSA bali ni ile ripoti ya MWAKYEMBE ndio iliyomwondoa Lowassa kibaruani
Kama alikula pesa za Lowassa what makes you think alikuwa hali na hao mafisadi wengine?
Hapa kuna watu wanataka kuforce NDOA betweem MWANAHALISI na JAMBO FORUMS hiii mimi siitaki hata kuona kwani sisi kama JF tunatakiwa tuwe independent kama tulivyokuwa siku zote
KUBENEA alipewa pesa kabla ya Tindikali, akatuliza ball for a while ..baadae akalalama kuwa biashara ya Gazeti ni matangazo hivyo akaomba wampe matangazo wakati bado wanaendelea kulishughulikia hilo ..ohoooo KUBENEA akaanza kuwatukana hao wao waliompa pesa hapo awali sasa kabla episode ya Tindikali haijafika walimchomea gari lake kama message ...sasa leo kibao kimegeuga anata hii UN HOLLY ALLIANCE na JF
simuelewi huyu mtu, je kesho akitokea mwtu mwingine akimuoffer mapesa atashindwa kutugeuka huyu?
At most naweza kumfananisha na wale watu wa pale mtaa wa Ohio.
Kubenea ni mtu wao na hili linajulikana sasa nashangaa inawezekana kabisa kuwa hii ni strategy ya kutuyeyusha au kutuletea longo longo.
Kama anashida sana aende kwa Salva ,maana i am 100% mindset zao zinafana fanana.
huu ni wenda wazimu ltuna mengi ya kufanya humu na kama huyu angekuwa anataka ku keep it real angetulipia bill tya server ya miaka 2 ndio walau tungefikiria namna ya kumsaidia. Wee mtu akiumwa serikali inamlipia matibabu India lakini sie wenzetu wakikamatwa toka humu ndani alikuwa kimya
what a leech he is
hatokujibu straight kwa sababu hana jibu
Chinga na GT naona mmegundua kuwa RA amechemsha maana anakwenda kuimbua CCM mahakamani, mnatumia mbinu ya kutaka Kubenea asisaidiwe ili mmtishe amwangike RA, that will never happen mlimzui kuonge bungeni sasa ataongea mahakamani, maana report ya mwakyembe hakuandika kubenea ambayo imemtaja RA kuwa anamiliki Richmond, kwanini hakumshitaki mwakyembe ambaye alimtaja kabisa.
Sisi tutamsaidia wakutane mahakamani ili RA atueleze ukweli Richmond ni ya nani.
Mama mbona ukisoma alichoandika kabla ya kufungiwa wiki moja utafunga computer?
Huyu bwana kiboko, atanifanya niwazuie hawa malaika wangu kuingia humu. Nilidhani watajifunza kuupiga vita ufisadi na kujenga hoja.
.
Sisi tutamsaidia wakutane mahakamani ili RA atueleze ukweli Richmond ni ya nani.
GAME THEORY u r very wrong na nina mashaka na taarifa zako! Tanzania hakutoa senti tano nyekundu kupeleka majeshi comoro ni Gadafi na Italy ndio waliogharamia!
Chinga na GT naona mmegundua kuwa RA amechemsha maana anakwenda kuimbua CCM mahakamani, mnatumia mbinu ya kutaka Kubenea asisaidiwe ili mmtishe amwangike RA, that will never happen mlimzui kuonge bungeni sasa ataongea mahakamani, maana report ya mwakyembe hakuandika kubenea ambayo imemtaja RA kuwa anamiliki Richmond, kwanini hakumshitaki mwakyembe ambaye alimtaja kabisa.
Sisi tutamsaidia wakutane mahakamani ili RA atueleze ukweli Richmond ni ya nani.
Kuhusu Rostam msimamo wangu uko pale pale. He is still innocent until proved guilty by the court of law beyond reasonable doubt.
Je ni mtu safi? Sijui lakini lisemwalo waswahili wanasema lipo lakini siwezi kuingia kwenye mkumbo wa kukubali kuwa ni fisadi wakati hakuna ushahidi uliopelkwa kwenye vyombo vya sheria kuthibitisha hilo.
Je nataka ajieleze? Ndio nataka sana apewe nafasi hiyo kwani mimi I am not a proponent wa LAW OF THE JUNGLE maana kama ndio hivyo basi tuanzie na Nyerere ambaye waziri mkuu wake Msuya naye inasemekana alikuwa ni FISADI kisha tumalizie na JK
Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?
Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?
Kuhusu Rostam msimamo wangu uko pale pale. He is still innocent until proved guilty by the court of law beyond reasonable doubt.
Je ni mtu safi? Sijui lakini lisemwalo waswahili wanasema lipo lakini siwezi kuingia kwenye mkumbo wa kukubali kuwa ni fisadi wakati hakuna ushahidi uliopelkwa kwenye vyombo vya sheria kuthibitisha hilo.
Je nataka ajieleze? Ndio nataka sana apewe nafasi hiyo kwani mimi I am not a proponent wa LAW OF THE JUNGLE maana kama ndio hivyo basi tuanzie na Nyerere ambaye waziri mkuu wake Msuya naye inasemekana alikuwa ni FISADI kisha tumalizie na JK
Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?
Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?
Nchi yetu inayo rule of law japo saa zingine haifuatwi lakini statutes zipo sasa ya nini kuwaita akina Karamagi, Lowasa, balali mafisadi wakati hawajapewa nafasi ya kujitetea?
Hivi ndivyo mnavyotaka kuendesha nchi? Yaani Ki VENDETTA VENDETTA?
I am OFF inaonyesha umetumwa na RA pengine kwa kupewa muda wa maongezi wa vodacom
Kitendo cha kuandika kile ambacho magazeti yote Tanzania yalisita kuandika ilikuwa ni very big up kwa Jamboforums. JF haitaki mchango toka kwa taasisi so far. Media zikiandika kile kinachoandikwa hapa JF ni big up ya nguvu kwa JF.
Kuna wengi hapa JF hawakuongelea mambo ya Comoro kwa vile hawakuwa na intelligence report kama ile uliyokuwa nayo.
Unachosema hapa hakina tofauti na wale wanaosema kuwa JF inalipwa na Kikwete lakini mawe ya JF yanathibitisha otherwise.
Mwanahalisi wameandika mengi kuhusu Lowasa na ufisadi wake mara milioni moja ya kusafishwa kulikofanywa na magazeti mengine. Kwa hili facts zinakushitaki otherwise.
Hakuna aliyefanya hili mkuu kwa hiyo wewe endelea na hoja zako angainst mwanahalisi na utapata majibu accordingly.
Bado ni yale yale unayoweza vyema - substance zero ila unakwenda below the belt.
Sio lazima wewe uchangie kwa vile ulichotaka mwanahalisi wafanye hakikufanyika. Maelfu ya memba wengine wa JF watachangia maana wameona mchango wa mwanahalisi.
Huwezi kupata majibu straight kama huna maswali straight!
GAME THEORY u r very wrong na nina mashaka na taarifa zako! Tanzania hakutoa senti tano nyekundu kupeleka majeshi comoro ni Gadafi na Italy ndio waliogharamia!
Kwa kuwa unatungatunga story inanifanya niwe na wasiwasi na wewe! Hebu tuambie unalipwa ngapi kwa kazi hii ukiona aibu ni PM. Plz
Hatujasahu topic ni kumsadia Kubenea na MwanaHalisi
Sokomoko,
usiondoke mwenzangu na wala usidhani GT ana muda wa bure wa voda toka kwa RA. yeye ameamua kumwamini RA na sasa anasubiriwa kwenye hiyo case ili ijulikane hadi kwa GT kuwa ni kwa nini sio Kikwete au PInda anayesema chochote kuhusu mambo ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata - Rostam Azizi.
Wala sikusema kuwa JF inataka mchango toka taasisi yoyote ile lakini wakati wa shida mbona mwanahalisi halikutujua? kama big up basi ni JF pamoja na KLH news ndio wakupewa hilo nalikubali lakini sio Mwanahalisi ambao at most walikuwa wanakuja kunyonya habari humu lakini walikuwa wanagoma ku acknowledge JF or KLH NEWS kama ndio source...now that is one of my problem na MWANAHALISI/KUBENEA
But one would have expected gazeti kama la MWANAHALISI lingekuwa na habari zaidi kuhusu:
nani alimshauri JK akubali kupeleka kaka zetu kule
kwa gharama zipi?
implication yake geo-politically ingekuwa ipi?
Kwa nini Membe alikuwa anapush for that invasion?
Je Jendayi Frazer alimuahidi nini inreturn?
Na watanzania wangapi wamepoteza maisha kutokana na hiyo global Matrix?
Kwa nini baada ya invasio kule Comoro Ile manowari ya Amerika haishi kusurvey pemba na pwani zetu
so far tumefaidika nini?
surely MWANAHALISI kama kweli walitaka wawe taken kama gazeti ambalo ni serious tungeona wanauliza na wangefanya investigative journalism kwenye issue ambayo ina national interest kuliko mengine..
Ukweli ni kuwa JF inaendeshwa na wanachama ili hali MWANAHALISI ilikuwa kwenye payroll ya Lowassa mpaka pale mambo yalipoharibika..kwa kiasi fulani
Alipokea pesa na akazila sasa hii fall out ni baada ya kuambiwa asubiri kigodo ili ifanywe mipango apate matangazo ya serikali gazetini kwake...mwanzo alipokea pesa ana alizila
Ambayo hawana majibu zaidi ya kupitisha bakuli..sisi hizo pesa bora tutalipia server yetu humu..kesha likoroga sasa kilichobaki mwanhalisi ni kuonyea na Insurance wao waangalie kama policy yao inawa cover kwenye hili pia
thats doesnt mean kuwa kuna some element in attention whoring ya Kubenea
wamekuja na najisikia kuchangia na nitaendelea kuchangia kwa namna nionavyo infaa
thats bollocks
Ahaaa
at last nimempata mtu ambaye yuko tayari kutuambia undani wa vita ya COMORO
sasa mindali unajua kuwa tanzania haikutoa hata senti tangi nyekundu..
sasa naomba unijibu yafuatayo:
Tuonyeshe ushahidi ni wapi Libya wamelipia Gharama?
Yaani secondary na primary sources zako
SUrely you guys can provide that information
baada ya hapo maswali mengine yatafuata
Ndio maana inabidi apelekwe mahakamani kwa ufisadi ili ijulikane kuwa ni safi au si safi!
Sidhani kama unataka kushitaki kaburi la Nyerere.
Uvendeta uko wapi?
Jukumu la kupeleka criminal ni la serikali na so far naona wako kimyaaaaaa