Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

ulitaka nimshukuru aliyenitukana? ama.. au nisingekuwa na upande kati ya anayenitukana na anayenitetea? sijakuelewa. Au una maana nilitakiwa niwe neutral kwa sababu mimi ndiye ninayetukanwa?

Hata yule uliye kuwa unamshukuru alikuwa anarusha low-blows. Ulipokuwa una mu endorse, you got right in the muck. Nilikuwa nasubiri nione kama uta stay above the fray, ningefurahi sana.

Naomba nitumie ka mfano ka siasa za Marekani. Wagombea huwa wanalazimika kufukuza supporters ambao wanatumia mbinu zisizo pendeza. Mama Clinton alimfukuza Mama Feraro, Obama aliji distance na Mchungaji, na McCain alimkana yule radio personality wa Ohio aliye muita Obama Huseni. Najua unanielewa vizuri.

Ki ufupi niliku hold kwenye higher standards kama ambavyo mwenyewe umesema 'it comes with the territory.' Bahati mbaya hukupanda kwenye hicho kiwango. Natumaini hawa moderators wame consider mchango wako wa siku zote, na wame kuchukulia kama Statesman of the JF Nation. Lakini usikatae kwamba supporters wako wameharibu, ikiwa ni pamoja na kuingiza dini kwenye thread isiyo yenyewe. Ahsante.
 
Chinga hasira zako usizipeleke kwa wasiohusika. Umekuwa sasa jifunze kukabiliana na kila jambo siyo kumchukia kila mtu kisa una matatizo yako ya kinyumba, kikazi au kifamilia.

Ni ushauri tu.
 
inasikitisha sana kuona mafisadi wamefanikiwa kuingia kwenye JF, lakini wanaonekana kuwa low sana naona IQ zao ni chini ya 70. Sijawahi kusikia kuwa tusi ni hoja, na kwa kuwa hoja inajibiwa kwa hoja yenye nguvu, hoja isiyo na hoja inaachwa iende tu!
 
sioni umuhmu wa kuchangiwa kwa mwanahalisi kwa hili.
kwanza, hawajasema kuwa wanatatizo la pesa labda hawana uwezo wa kulipia lawyer nk.
pili; ikiwa walifanya kazi yao vizuri, hawana sababu ya kutaka kuwa na mapesa kama RA ili wamshinde mahakamani

it came as a suprise kuona watu wakipinga tu hoja, basi wanamwagiwa matusi humu JF......
 
Adai alimjeruhi Kubenea kwa kutembea na mke wa bosi
SHAHIDI katika kesi ya kuwajeruhi na kumwagiwa tindikali waandishi wawili wa magazeti ya MwanaHalisi na Mseto, amedai mahakamani kuwa mshitakiwa wa kwanza alitumwa na bosi wake kumdhuru Mhariri wa MwanaHalisi, Saed Kubenea kwa vile anatembea na mke wa bosi wake.

Akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Addy Lyamuya, Sajini David (37) alidai kuwa Desemba 25, 2007, mshitakiwa Alex Anyemike pamoja na Fredrick Msepa aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa Kampuni ya Bakhressa, walikutana na kudai kuwa Msepa alitumwa na bosi wake wamjeruhi Kubenea ambaye ni Mhariri wa gazeti la MwanaHalisi.

Sajini alidai Alex na Msepa walitumwa kumdhuru Kubenea kwa sababu alikuwa akitembea na mke wa bosi huyo ambaye hakutajwa mahakamani hapo.

Awali, ilidaiwa kuwa washitakiwa hao Desemba 25, mwaka jana na Januari 5, mwaka huu Dar es Salaam, walikula njama ya kutenda kosa la kuwadhuru wahariri wa MwanaHalisi na Mseto pamoja na kumjeruhi Ndimara Tegambwage.


Washitakiwa wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Msepa, Alfred Moshi (64), Anyimike (28), Hashimu Mdoe (32) maarufu kama Madilu, Augustino Joseph (30) au Cheusi pamoja na Hamis Almasi (25).

Naye Mwendesha Mashitaka, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ACP), Charles Kenyella alidai kuwa Januari 5, mwaka huu Mtaa wa Kasaba, Kinondoni katika ofisi za magazeti hayo, washitakiwa kwa pamoja walimmwagia Kubenea tindikali na kumjeruhi kwa sime.

Kenyella alidai siku hiyo hiyo washitakiwa hao walimshambulia na kumjeruhi Tegambwage kwa kumkata na sime eneo la nyuma ya kichwa chake na kumsababishia majeraha.

Ushahidi wa kesi hiyo unaendelea kusikilizwa mfululizo kuanzia leo hadi Mei 9, mwaka huu na upande wa mashitaka utakuwa na mashahidi 11 na kuwasilisha vielelezo 11. Washitakiwa watatoa utetezi wao.
 

Kisha unakuja JF ambako unakutana na watu ambao ukileta habari wana examine the evidence, wana detect fallacy and dismissing the validity of misinformation, misrepresentation, distortion, exaggeration, prevarication, equivocation, logical fallacy, ridicule, treachery calumny and lies ambazo ndio nguzo za MWANAHALISI

Kuhusu jibu la Majeshi kwenda Commoro nadhani Mwafrika wa Kike amekujibu na isitoshe hapa sio sehemu yake.

Hivi kati ya MwanaHalisi na JF na Mtanzania/Habari Corp na MwanaHalisi nani anae dismissing the validity of misinformation, misrepresentation, distortion, exaggeration, prevarication, equivocation, logical fallacy, ridicule, treachery calumny and lies

JF imekuwa ikitumiwa na watu wachache wenye lengo maalumu ku dismissing the validity of misinformation, misrepresentation, distortion, exaggeration, prevarication, equivocation, logical fallacy, ridicule, treachery calumny and lies.

Watu hao ni wengi lakini tunamshukuru Mungu wameshindwa kutudhibiti tulio na nia nzuri kwa taifa letu. Sisi tunasukumwa na uzalendo wao wanasukumwa na mafisadi kuzidi kulididimiza taifa letu utadhani wao hawaishi katika hii nchi.

Ushauri wa bure.

Malumbano hayana maana hoja iliyombele yetu ni kumsadia Saed Kubenea na MwanaHalisi. Ikiwa mtu hataki halazimishwi. Utachangia ukijisikia na kama mtu hajisikii kuchangia asijaribu kudivert mada maana hapa mada ni Kumsaidia Saed Kubenea na MwanaHalisi mada sio dismissing the validity of misinformation, misrepresentation, distortion, exaggeration, prevarication, equivocation, logical fallacy, ridicule, treachery calumny and lies.

Mada hapa sio Majeshi yaliyopelekwa COMMORO.

Nadhani umenipata mkuu.

Shukrani na siku njema.
 
du cjapata ona thread iliyojaa viroja kama hii in a long time, but anyways, mkuu GT, Hatuwezi kuzuia hisia zetu katika kuwahukumu rostam na crooks wenzake, watu wote hao waliopo tanzania kwanini tuwatuhumu wao tu, ni ukweli kuwa ahukumiye atahukumiwa, but kwenye ukweli uongo hujitenga na ukweli ushadhihirika what more evidence do u need to convince u kuwa hawa watu ndio wanatusababishia machungu zaidi ya maisha? si rahisi kuzuia hisia zetu katika hili, pls let us deal with them accordingly! and let us enjoy calling them fisadis, its suit them because that what they really are!
 
BWANA KUBENEA KAMA UKO HAPA LEO NAKUJA JIONI SAA 11 JIONI AU SAA 12 JIANDAE TUNAKUJA NA MICHANGO YETU TOKA PWANI NEWS WATCH
 
Adai alimjeruhi Kubenea kwa kutembea na mke wa bosi
SHAHIDI katika kesi ya kuwajeruhi na kumwagiwa tindikali waandishi wawili wa magazeti ya MwanaHalisi na Mseto, amedai mahakamani kuwa mshitakiwa wa kwanza alitumwa na bosi wake kumdhuru Mhariri wa MwanaHalisi, Saed Kubenea kwa vile anatembea na mke wa bosi wake.

Akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Addy Lyamuya, Sajini David (37) alidai kuwa Desemba 25, 2007, mshitakiwa Alex Anyemike pamoja na Fredrick Msepa aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa Kampuni ya Bakhressa, walikutana na kudai kuwa Msepa alitumwa na bosi wake wamjeruhi Kubenea ambaye ni Mhariri wa gazeti la MwanaHalisi.

Sajini alidai Alex na Msepa walitumwa kumdhuru Kubenea kwa sababu alikuwa akitembea na mke wa bosi huyo ambaye hakutajwa mahakamani hapo.

Awali, ilidaiwa kuwa washitakiwa hao Desemba 25, mwaka jana na Januari 5, mwaka huu Dar es Salaam, walikula njama ya kutenda kosa la kuwadhuru wahariri wa MwanaHalisi na Mseto pamoja na kumjeruhi Ndimara Tegambwage.


Washitakiwa wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Msepa, Alfred Moshi (64), Anyimike (28), Hashimu Mdoe (32) maarufu kama Madilu, Augustino Joseph (30) au Cheusi pamoja na Hamis Almasi (25).

Naye Mwendesha Mashitaka, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ACP), Charles Kenyella alidai kuwa Januari 5, mwaka huu Mtaa wa Kasaba, Kinondoni katika ofisi za magazeti hayo, washitakiwa kwa pamoja walimmwagia Kubenea tindikali na kumjeruhi kwa sime.

Kenyella alidai siku hiyo hiyo washitakiwa hao walimshambulia na kumjeruhi Tegambwage kwa kumkata na sime eneo la nyuma ya kichwa chake na kumsababishia majeraha.

Ushahidi wa kesi hiyo unaendelea kusikilizwa mfululizo kuanzia leo hadi Mei 9, mwaka huu na upande wa mashitaka utakuwa na mashahidi 11 na kuwasilisha vielelezo 11. Washitakiwa watatoa utetezi wao.

KWAHIYO DAILY NEWS WALIOANDIKA HABARI HII NAO NI MAFISADI AU?
 
BWANA KUBENEA KAMA UKO HAPA LEO NAKUJA JIONI SAA 11 JIONI AU SAA 12 JIANDAE TUNAKUJA NA MICHANGO YETU TOKA PWANI NEWS WATCH

Hatuwezi kukuamini pengine utakuwa umebeba tindikali ukasema sema ni michango yenu kwani tunawajua nyie ni watu wa aina gani.

Umejirekebisha yale mwaswala yetu ya R na L? utajisikiaje ukienda kutoa paspoti ukakuta umeandikwa Yona Malo?

Anyway kama unataka kuchangia mpigie simu Saed Kubenea atakupa namba yake ya account au utaacha mchango wako kwa katibu muhtasi wake maana nyie hamuaminiki (chui wenye ngozi ya kondoo)
 
Chinga
Jitahidi Kusoma Alama Za Nyakati Watu Hawakurupuki Tu Kuandika Thread....jiulize Kwanini Wameamua Kumtaja Mwanakijiji Na Kwa Nashukuru Umekiri Amekuwa Akikusanya Hiyo Michango Ya Misiba Kama Kuondoka Nayo Nafikiri Aitaji Kupewa Dep Kamaunavyosubiri Wewe Jamaa Inawezekana An Mudawake Maalum Ukifika Anrudi Bongo Kufanya Vituuz Ndio Maana Anakuja Dar Na Kuondoka Jaribu Weye Uone ,,kama Familia Yenu Aijauza Viamba Vyote Na Viza Ukaisikia Machoni..wito Nakupongeza Kwa Ushauri Wako Ila Soma Alama Za Nyakati Usikurupuke
Michango Itakusanywa Na Nakuhakikishia Matokeo Ya Michango Na Kesi Utaipata Humu Humu Jf..jitayarishe Kushangilia Ushindi Wa Maneno
Jf Hawaongei Wanatenda...umefika Wakati Wa Kutenda Na Si Kuongea Kama Threads Tumezijaza Nyingi Tu Jamani Tupewe A/c Namba Hizo..chinga Atakuwa Wa Kwanza Kwa Hili Natumaini
Tusimtenge Ni Mwenzetu Jamani
 
BWANA KUBENEA KAMA UKO HAPA LEO NAKUJA JIONI SAA 11 JIONI AU SAA 12 JIANDAE TUNAKUJA NA MICHANGO YETU TOKA PWANI NEWS WATCH

Habari za Asubuhi mkuu, tafadhali usiende na tindikali maana wewe ndo ulikuwa unamponda sasa kama unataka kwenda kumuona naogopa hasije mwagiwa tena tindikali, badala ya michango kama unavyosema, subiri afungue account utauingiza pesa benki badala ya kwenda kumuona either nyumbani kwake au ofisini.
 
Ameshanitumia Pm Kukubali Mimi Kukutana Nae Naninapiga Nae Pichaniweke Hapa

Sasa Sijui Ameshapona Macho Asije Akawa Hawezi Kuniona
 
Habari za Asubuhi mkuu, tafadhali usiende na tindikali maana wewe ndo ulikuwa unamponda sasa kama unataka kwenda kumuona naogopa hasije mwagiwa tena tindikali, badala ya michango kama unavyosema, subiri afungue account utauingiza pesa benki badala ya kwenda kumuona either nyumbani kwake au ofisini.

na kweli sheikh, hawaaminiki hao.
 
Nyie,

Kubenea amerudi India kwa matibabu, kutokana na ile tindikali aliyomwagiwa na makuwadi na mashankupe wa ufisadi!

Pili, MwanaHalisi wana uongozi kamilifu. Mwenye uwezo aende pale kuonana nao kuwashauri wafungue akaunti, kisha sisi tuweke michango yetu moja kwa moja benki. Hakuna kingine.

Hapa si mahala pa kuanza kumwagiana matusi, kwani, mafisadi wameamua kuanza vita. Na kama walivyosema wenzangu, wakimaliza MwanaHalisi wanakwenda Tanzania Daima kisha kuja kumalizia hapa JF. Je, tutakaa kimya kama mabwege na kuwaachia wafanye watakavyo huku wamekuwa wakituibia wazi wazi, au tutawashughulikia?

Kazi tunayo WanaJF. Kazi tunayo!

./Mwana wa Haki!
 
Nyie,

Kubenea amerudi India kwa matibabu, kutokana na ile tindikali aliyomwagiwa na makuwadi na mashankupe wa ufisadi!

Pili, MwanaHalisi wana uongozi kamilifu. Mwenye uwezo aende pale kuonana nao kuwashauri wafungue akaunti, kisha sisi tuweke michango yetu moja kwa moja benki. Hakuna kingine.

Hapa si mahala pa kuanza kumwagiana matusi, kwani, mafisadi wameamua kuanza vita. Na kama walivyosema wenzangu, wakimaliza MwanaHalisi wanakwenda Tanzania Daima kisha kuja kumalizia hapa JF. Je, tutakaa kimya kama mabwege na kuwaachia wafanye watakavyo huku wamekuwa wakituibia wazi wazi, au tutawashughulikia?

Kazi tunayo WanaJF. Kazi tunayo!

./Mwana wa Haki!

na kweli sheikh, wanasema "hata mbuyu ulianza kama mchicha" so kama wameanza kwa kubeneya mwisho wa siku mechi wanaihamishia hapa JF...so tujihadhari nao hawa.
 
mbegu ya mbuyu na mchicha ni tofauti lakini yote hayo ni viumbe hai vitakufa siku moja
 
Adai alimjeruhi Kubenea kwa kutembea na mke wa bosi
kumdhuru Mhariri wa MwanaHalisi, Saed Kubenea kwa vile anatembea na mke wa bosi wake.



Kama kweli KUBENEA anatembea na wake za watu sijui hapa atatetewa vipi hebu imagine ingekuwa wewe ungefanyeje kama ukijua mtu ana fanya mapenzi na mkeo?

One hand kubenea anajiproject kama mpiga vita ufisadi na corruption lakini usiku ukiingia natembea na wake za watu(allegedly)

sasa nyie wana JF mngefanyeje kama ni wake zenu ndio wanafanyiwa hivi na Kubenea?
 
Hivi MwanaHalisi/Said Kubenea waliomba msaada au tunataka tu kuwasaidia bila hata kuwauliza? Kwa nini wasingeulizwa badala ya kukurupuka tu? Why JF kusaidia ones personal business?
 
Back
Top Bottom