mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Jibu lako kwa Mama Dunia umeua mkuu, hakuna ziada. Vyakula vingi tunavyokula asilimia kubwa vimekuzwa kwa mbolea ya chumvi chumvi. Mama Dunia mtoto wa magorofani huyo, sikumoja atembelee mashamba ya mpunga aone ubwawa wake unavyoshindiliwa chumvi chumvi, ha ha haaaa!! Mkuu ninaafiki hatuna budi kuwa wazalendo kujali vya nyumbani.
kuna safari,serengeti,ndovu,eagle,balimi,kilimanjaro......Made in Tanzania ndo mpango mzima..mtaani kwetu kuna supermarket mbili tatu......Mimi huwa naenda moja tu kwa sababu wanauza vitu vinavotengezwa Tanzania kwa kwenda mbele......na hii nimeinakili kwa majirani zetu Wakenya ....akikuta bidhaa mbili dukani ya Kenya na nchi nyingine lazima achukue ya Kenya
Bia Bingwa ulikuwa ukinywa lazima uharishe kwanini watu wasinywe heinekeen