mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Jibu lako kwa Mama Dunia umeua mkuu, hakuna ziada. Vyakula vingi tunavyokula asilimia kubwa vimekuzwa kwa mbolea ya chumvi chumvi. Mama Dunia mtoto wa magorofani huyo, sikumoja atembelee mashamba ya mpunga aone ubwawa wake unavyoshindiliwa chumvi chumvi, ha ha haaaa!! Mkuu ninaafiki hatuna budi kuwa wazalendo kujali vya nyumbani.
hahahaha nimewakubali lakini chumvichumvi si ya mda mfupi namna hiyo na haiwekwi kwenye kitu kama mchicha wa siku saba..sawa?