Saido akwama, Simba wakwama ufungaji bora

Azam 8-0 polisi Tz

Azam nao wamenunua leo.
 
 
Link Haifunguki
Kwahyo ni haki bandari ya nchi ambayo ndo kutega chake uchumi namba moja kuuzwa kwa waarabu kwa V8 na milion kadhaa?
Nani kasema imeuzwa .....

Ni kama tuseme inakodishwa Kwa sekta binafsi


Ni kama shirika la ndege tumpe mwamedi[emoji23][emoji23]

Then serikali itakuwa inakusanya mafwezaa
 
Aisee hii timu kama Mo imemshinda bora aachie tu ngazi wenye pesa waje waweke mzigo wa usajili maana Makolo si wa kuanza kulilia ufungaji bora baada ya kukosa vyooote. Wamepowaa na haipendezi
I
Au tuongee na mayele...awaachie makolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…