Saido akwama, Simba wakwama ufungaji bora

Saido akwama, Simba wakwama ufungaji bora

Ufafanuzi umetolewa, bodi ya league na TFF ndo itaenda kukaa na kuamua kanuni ipi itumikee, huvyo wadau wa soka wakae kwa utulivu.
 
Kiatu kinatolewa kwa yule ambaye hana magoli mengi ya penati kwahiyo kiatu ni cha Fiston Kalala Mayele [emoji617] Official [emoji460] Young Africans SC

NB: pamoja na kumnunulia magoli Mzee ...saidoo ashinde kiatu ....but imeshindikana[emoji23][emoji23][emoji23]

Hizo pesa mnge invest kununua quality players kama mayele .....na nyie mngekuwa fainali [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2651354
Nendeni mkashitaki FIFA
IMG-20230609-WA0038.jpg
 
Ime fikia hatua makolo mna lilia kiatu[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Ufafanuzi umetolewa, bodi ya league na TFF ndo itaenda kukaa na kuamua kanuni ipi itumikee, huvyo wadau wa soka wakae kwa utulivu.
Si Utopolo hapa wameshaanza heka heka zao kama jana walivyokuwa wanatuhangaisha na dau la Feisal kuuzwa Azam.
 
Back
Top Bottom