ABLE04
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 976
- 2,391
Ila Ahmed ni ZEROO!!Kolo mkuu.....Mr kispika amekubali yaishe[emoji23][emoji23]
Wewe ni nani unapingaView attachment 2651387
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Ahmed ni ZEROO!!Kolo mkuu.....Mr kispika amekubali yaishe[emoji23][emoji23]
Wewe ni nani unapingaView attachment 2651387
Hapa hawezi kukujibuUto anayebisha kama hawapewi kiatu kila mtu tuwekeane dau Hapa
Utopolo mwagitela zigizigiMakolo kineheView attachment 2651381
Sasa hapa umeongea kama mshabiki sio mchambuziTofauti ni kuwa
Mayele....magoli ya kufight
Saido........ magoli ya mchongo ( bahasha)
@Labani og weka dau hapa usiruke ruke kama pop corn kikaangoniMtu yoyote anayesema Mayele ndo mfungaji bora pekee...aweke dau hapa, tukamatane siku ya tuzo dadeki...naweka laki 1...mtu aje hapa...Ukijifanya kudanganya mimi ntakupata tu
Uto hapa hujanidanganya kweli na hii lugha hata kama siijui [emoji23][emoji23][emoji23]The future is exercising [emoji23]
Utani tu mkuuSasa hapa umeongea kama mshabiki sio mchambuzi
Btw Ishu ya bandari imefikia wapi?
Tena kigogoWamekalia gogo
Ila ww akili zako sijui zipoje....Kolo mkuu.....Mr kispika amekubali yaishe[emoji23][emoji23]
Wewe ni nani unapingaView attachment 2651387
😂😂😂Usingeyashitua ungeyaacha yashangilie kwanza [emoji23][emoji16]
Unaanzaje kumuamini mtu anaekurupukaFeisal kauzwa kwa 270M,tangu nisome ile thread sikuamini tena
Weka dau huko,mbona unakwepa? Umewaokota Utops wenzio [emoji23][emoji23]Naonea huruma pesa zako
2016/17 msuva na Mussa walipewa kila mtu chake.Muhimu TFF waandae kiatu kingine, nakumbuka hata EPL kuna msimu Auba alifungana magoli na Salah wote wakapewa kila mmoja kiatu chake, nadhani hata kwetu pia itakuwa hivyo.