Saido na Ambundo watimuliwa kambini yanga

Saido na Ambundo watimuliwa kambini yanga

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Saido na Ambudo wametimuliwa kambini baada ya kutoroka mazoezini na kwenda disco baada ya mchezo wa Biashara dhid ya Yanga ulioisha 1-1.

Hivyo hao wachezaji hawatakuwa sehemu ya kikosi jumamosi
===

SIKU mbili kabla ya mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Simba na Yanga, kocha mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewatimua Saido Ntibazonkiza na Dickson Ambundo kambini mjini Shinyanga.

Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti imezipata ni kwamba, sababu za kutimuliwa kwao inatajwa kuwa ni kutoroka kambini na kwenda mtaani kinyume na utaratibu.

Simba na Yanga watakwaana Jumamosi Mei 28 katika mchezo ambao utaamua nani atacheza hatua ya fainali na timu hizo zinakutana zikiwa na kumbukumbu ya kugawana pointi kwenye michezo miwili ya ligi msimu huu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Simba nafasi yenu ya kushinda hii baada ya Yanga kuanza kuvurugana mapema sana
 
Saido na Ambudo wametimuliwa kambini baada ya kutoroka mazoezini na kwenda disco baada ya mchezo wa Biashara dhid ya Yanga ulioisha 1-1. Hivyo hao wachezaji hawatakuwa sehemu ya kikosi jumamos
Hawana impact yoyote hata kama wangekuwapo
 
Saido na Ambudo wametimuliwa kambini baada ya kutoroka mazoezini na kwenda disco baada ya mchezo wa Biashara dhid ya Yanga ulioisha 1-1.

Hivyo hao wachezaji hawatakuwa sehemu ya kikosi jumamosi
===

SIKU mbili kabla ya mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Simba na Yanga, kocha mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewatimua Saido Ntibazonkiza na Dickson Ambundo kambini mjini Shinyanga.

Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti imezipata ni kwamba, sababu za kutimuliwa kwao inatajwa kuwa ni kutoroka kambini na kwenda mtaani kinyume na utaratibu.

Simba na Yanga watakwaana Jumamosi Mei 28 katika mchezo ambao utaamua nani atacheza hatua ya fainali na timu hizo zinakutana zikiwa na kumbukumbu ya kugawana pointi kwenye michezo miwili ya ligi msimu huu.
acha uongo hao wachezaji wapo shy kambini na wenzao
 
Saido na Ambudo wametimuliwa kambini baada ya kutoroka mazoezini na kwenda disco baada ya mchezo wa Biashara dhid ya Yanga ulioisha 1-1.

Hivyo hao wachezaji hawatakuwa sehemu ya kikosi jumamosi
===

SIKU mbili kabla ya mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Simba na Yanga, kocha mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewatimua Saido Ntibazonkiza na Dickson Ambundo kambini mjini Shinyanga.

Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti imezipata ni kwamba, sababu za kutimuliwa kwao inatajwa kuwa ni kutoroka kambini na kwenda mtaani kinyume na utaratibu.

Simba na Yanga watakwaana Jumamosi Mei 28 katika mchezo ambao utaamua nani atacheza hatua ya fainali na timu hizo zinakutana zikiwa na kumbukumbu ya kugawana pointi kwenye michezo miwili ya ligi msimu huu.
Tumestuka !
 
Usistuke Kuna kamgogoro huko

Walitoroka wanne

Saido
Ambundo
Moloko
Bangala

Lakini kutokana na uwepo wa Darby mbele hao wawili wamehurumiwa
Hata Mayele, Djuma Shaban,Aucho ,Farid na Feisal Salum na wenyewe walitoroka kambini ila ndo wakasemehewa wotewote kasoro Ambundo na Saidoo wakafanywa mbuzi wa kafara....kwahyo kuna mgogoro mkubwa sana kwasasa ndani ya timu

Ni wakati wa Simba kurelax na kupunguza presha na kushinda hii Game bila kutumia nguvu sana
 
Back
Top Bottom