Saido na Ambundo watimuliwa kambini yanga

Saido na Ambundo watimuliwa kambini yanga

Hata Mayele, Djuma Shaban,Aucho ,Farid na Feisal Salum na wenyewe walitoroka kambini ila ndo wakasemehewa wotewote kasoro Ambundo na Saidoo wakafanywa mbuzi wa kafara....kwahyo kuna mgogoro mkubwa sana kwasasa ndani ya timu

Ni wakati wa Simba kurelax na kupunguza presha na kushinda hii Game bila kutumia nguvu sana

Hahahaha Makolo yanajipa moyo
 
Ntibanzokiza
Screenshot_20220526-124423.jpg
 
Back
Top Bottom