Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Hata Mayele, Djuma Shaban,Aucho ,Farid na Feisal Salum na wenyewe walitoroka kambini ila ndo wakasemehewa wotewote kasoro Ambundo na Saidoo wakafanywa mbuzi wa kafara....kwahyo kuna mgogoro mkubwa sana kwasasa ndani ya timu
Ni wakati wa Simba kurelax na kupunguza presha na kushinda hii Game bila kutumia nguvu sana
Kwamba watu wakubali kuchafuliwa CV zao kwenye official social media account's za klabu? Unadhani ambundo anategemea kuzeekea Yanga tu? Acheni umbumbumbuHatudanganyiki
Tunarudia hamtutoi kwenye reli kipigo kipo pale paleKwamba watu wakubali kuchafuliwa CV zao kwenye official social media account's za klabu? Unadhani ambundo anategemea kuzeekea Yanga tu? Acheni umbumbumbu
Kama mnafanyaga mind games za kitoto hivi basi mtawasha sana moto viwanjaniTunarudia hamtutoi kwenye reli kipigo kipo pale pale
Subirini pumzi ya motoKama mnafanyaga mind games za kitoto hivi basi mtawasha sana moto viwanjani
Aaah Kila la heriSubirini pumzi ya moto
ShukraniAaah Kila la heri
Na mayele pia alitoroka.Usistuke Kuna kamgogoro huko
Walitoroka wanne
Saido
Ambundo
Moloko
Bangala
Lakini kutokana na uwepo wa Darby mbele hao wawili wamehurumiwa
Kumbe,kikundi Cha wahuni walimfuata kabwili had makoroboiNa mayele pia alitoroka.
Kabwili mchumba ake si bado yuko kambini,. Ex wake tonombe alisepa bongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe,kikundi Cha wahuni walimfuata kabwili had makoroboi
Aliyepo kambini Nani Tena?Kabwili mchumba ake si bado yuko kambini,. Ex wake tonombe alisepa bongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]