Saido Ntibanzokiza afunguka ya Moyoni! Inasikitisha

Saido Ntibanzokiza afunguka ya Moyoni! Inasikitisha

Haya mambo nouma Sana , hasa Africa kuna ushirikina mkubwa Sana kwenye soka, kpind tukiwa wadogo kwenye ligi za ng'ombe za kijiji , Kaka zangu wakiwa wanachezea timu ya kijijini tulikuwa tunaenda Kwa waganga Kama wote yaani , sometyme mganga anakuja usiku , mnaenda uwanjani usku wa manane kuweka madawa na moja ya shrti maarufu ni kuwa , mpira ukianza Tu , mchezaji wa Kwanza wa timu yenu atakayeunasa mpira shart aupige nje....
Mbali na ulozi huo bado tulikuwa tunachapika Tu , sometyme tunashinda , ilikuwa amsha amsha sana na mipira ilikuwa inapasuka hatari
Ajib alivyokuwa utopolo
 
"Nimezunguka Nchi Nyingi Kisoka Ila Yanga Ndio Timu Iliyonishangaza Kimfumo, Sizani Kama Ni Sahihi Afisa Uhamasishaji Kupanga Kikosi Yani Amekuwa Na Nguvu Kuliko Kocha, Binafsi Sijavutiwa Kubaki Hapa.

Mimi ni kijana wa kiislam ni nguvu kuniambia nile yai viza ili timu ishinde na hii ndio chanzo cha mgogoro na viongozi. Hapa tanzania giant ni mmoja tu simba sc kutokana na mfumo wake bora wa uendeshaji.

Tuwaeleze mashabiki ukweli kuliko kuwaficha na kujikuta wanajenga chuki na wachezaji. Kaze aliambia alale kwenye sakafu wiki moja kuelekea derby ya mzunguko wa kwanza pia aligoma ndio chanzo cha kuchukiwa na baadhi ya viongozi.

Natamani kucheza Azam maana ndio timu ninayoona itanipendeza. Kocha mpya nimejitahidi kuongea nae japo nilishindwa kumueleza yaliyo nyuma ya pazia maana nilikuwa nimesimamiwa na viongozi ambao ni chanzo cha mgogoro"

Saido Ntibazonkiza (akihojiwa na mwandishi wa burundi Nuhu Kwizela.


Gongowazi watabisha
 
Nilikuwa najiuliza ujasiri wa hawa jamaa kusema watachukua ubingwa na kumfunga mnyama unatoka wapi?Kumbe yai visa
Screenshot_20210424-070415.jpeg
 
"Nimezunguka Nchi Nyingi Kisoka Ila Yanga Ndio Timu Iliyonishangaza Kimfumo, Sizani Kama Ni Sahihi Afisa Uhamasishaji Kupanga Kikosi Yani Amekuwa Na Nguvu Kuliko Kocha, Binafsi Sijavutiwa Kubaki Hapa.

Mimi ni kijana wa kiislam ni nguvu kuniambia nile yai viza ili timu ishinde na hii ndio chanzo cha mgogoro na viongozi. Hapa tanzania giant ni mmoja tu simba sc kutokana na mfumo wake bora wa uendeshaji.

Tuwaeleze mashabiki ukweli kuliko kuwaficha na kujikuta wanajenga chuki na wachezaji. Kaze aliambia alale kwenye sakafu wiki moja kuelekea derby ya mzunguko wa kwanza pia aligoma ndio chanzo cha kuchukiwa na baadhi ya viongozi.

Natamani kucheza Azam maana ndio timu ninayoona itanipendeza. Kocha mpya nimejitahidi kuongea nae japo nilishindwa kumueleza yaliyo nyuma ya pazia maana nilikuwa nimesimamiwa na viongozi ambao ni chanzo cha mgogoro"

Saido Ntibazonkiza (akihojiwa na mwandishi wa burundi Nuhu Kwizela.



Weka hapa mahojiano hayo....propaganda mbaya sana
 
"Nimezunguka Nchi Nyingi Kisoka Ila Yanga Ndio Timu Iliyonishangaza Kimfumo, Sizani Kama Ni Sahihi Afisa Uhamasishaji Kupanga Kikosi Yani Amekuwa Na Nguvu Kuliko Kocha, Binafsi Sijavutiwa Kubaki Hapa.

Mimi ni kijana wa kiislam ni nguvu kuniambia nile yai viza ili timu ishinde na hii ndio chanzo cha mgogoro na viongozi. Hapa tanzania giant ni mmoja tu simba sc kutokana na mfumo wake bora wa uendeshaji.

Tuwaeleze mashabiki ukweli kuliko kuwaficha na kujikuta wanajenga chuki na wachezaji. Kaze aliambia alale kwenye sakafu wiki moja kuelekea derby ya mzunguko wa kwanza pia aligoma ndio chanzo cha kuchukiwa na baadhi ya viongozi.

Natamani kucheza Azam maana ndio timu ninayoona itanipendeza. Kocha mpya nimejitahidi kuongea nae japo nilishindwa kumueleza yaliyo nyuma ya pazia maana nilikuwa nimesimamiwa na viongozi ambao ni chanzo cha mgogoro"

Saido Ntibazonkiza (akihojiwa na mwandishi wa burundi Nuhu Kwizela.



Ukiona mtu anauamini ujinga na upumbavu kuhusu habari Hii ujue Ana matatizo kichwani
 
#EagleNetwork

Download Eagle Mining app at Eagle is a new and free digital currency you mine on your phone. Join as a pioneer and earn big!

Eagle Network is a New Cryptocurrency with an Elevated Proof of Stake (Epos) Blockchain Launched February 2021

Did you missed mining Bitcoin since 2009? Don't miss out again!

Join to mine for free without any hardware.

Free mining of Eagle No Internet needed to mine Eagle No battery drain No data drain

Use my referral code: DAUD9700

Register with Facebook or email or your number at ....

Eagle is a new and free digital currency you mine on your phone. Join as a pioneer and earn big!. NB referrals Ni daud9700[emoji736]
 
Habari haina hata video 😂😂 haya wacha na mimi ntunge stori yangu punda ana mabawa
 
"Nimezunguka Nchi Nyingi Kisoka Ila Yanga Ndio Timu Iliyonishangaza Kimfumo, Sizani Kama Ni Sahihi Afisa Uhamasishaji Kupanga Kikosi Yani Amekuwa Na Nguvu Kuliko Kocha, Binafsi Sijavutiwa Kubaki Hapa.

Mimi ni kijana wa kiislam ni nguvu kuniambia nile yai viza ili timu ishinde na hii ndio chanzo cha mgogoro na viongozi. Hapa tanzania giant ni mmoja tu simba sc kutokana na mfumo wake bora wa uendeshaji.

Tuwaeleze mashabiki ukweli kuliko kuwaficha na kujikuta wanajenga chuki na wachezaji. Kaze aliambia alale kwenye sakafu wiki moja kuelekea derby ya mzunguko wa kwanza pia aligoma ndio chanzo cha kuchukiwa na baadhi ya viongozi.

Natamani kucheza Azam maana ndio timu ninayoona itanipendeza. Kocha mpya nimejitahidi kuongea nae japo nilishindwa kumueleza yaliyo nyuma ya pazia maana nilikuwa nimesimamiwa na viongozi ambao ni chanzo cha mgogoro"

Saido Ntibazonkiza (akihojiwa na mwandishi wa burundi Nuhu Kwizela.


Alisikika [emoji250] mmoja [emoji81]

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Kuna vitu vya kujiuliza mtu km una akili timam.Hv dunia hii ni binadam gan atakubal kula yai viza?Huu ni uzushi.
Lakin suala la kukatazwa kulala kitandan,halaf uambiwe ulale chini hili ni la kawaida.Mashart ambayo waganga weng wanatoa.Na weng wanayaweza.
Za kuambiwa changanya na zako.
Kama hujui mambo kaa kimya, hao wanaopewa masharti na waganga tena wengine ni ma prof, wanakuwa hawana akili timamu?unajua maana ya imani wewe?nani asiyejua kuwa kwenye soka letu hayo ni mambo ya kwaida sana?
 
Hatari sana...Wananchi. Timu ya Wananchi....
Kama anacho kiongea huyo mchezaji kina ukweli, basi viongozi wa Yanga wanazingua. Mambo gani sasa ya kulishana mayai viza na kulazana chini!

Mimi ni Mwananchi, ila kamwe siwezi kuunga mkono vitendo vya kipuuzi. Kwanza Msolla atuambie mchakato wa kuibadilisha Yanga umeishia wapi! Badala ya kutuletea tu kila siku stori feki za Morrison, na kufukuza makocha kila wanapo jisikia.

Ni vyema wakamuajiri Kocha bora ili adumu muda mrefu kwenye klabu, badala ya kuokoteza tu mtaani.
 
Back
Top Bottom