Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Vp na la MWAMED kupokea bahasha kutoka GSM ili Simba ifungwe unaasemaje?Kwani ni siri?
Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu
Kina mayele bado wana vidonda vibichi
Faraja iliyobaki msimu huu ni propaganda pekeeKwani ni siri?
Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu
Kina mayele bado wana vidonda vibichi
😂😂🤣🤣😅😅😆😆😁😁😄😄😃😃😆😆😁😁Kwani ni siri?
Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu
Kina mayele bado wana vidonda vibichi
Una amini sana uchawiKwani ni siri?
Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu
Kina mayele bado wana vidonda vibichi
Amesaini dtb mpunga mrefu.Mechi imeisha Kama ulivyotuahid ahad n Deni
Mliyekarubu yake mwambien Wana jf tunasubiri
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mo huyu huyu bilionea?Simba ameuza mechi. Gsm katembeza bahasha kwa Moo. Moo atuachie timu yetu.
Mo alisema Simba ni mke wake mdogo ,so kulamba bahasha ni katika kuhemea ili mke ale.Simba ameuza mechi. Gsm katembeza bahasha kwa Moo. Moo atuachie timu yetu.
Hizo ni tetesi ambazo mwana anadai kuwa Yanga imemchafukia jina lake kwa kumpa tuhuma za uongo (ulevi)Una amini sana uchawi
Sawa cha msingi tumewapiga hayo kaeni nayoHizo ni tetesi ambazo mwana anadai kuwa Yanga imemchafukia jina lake kwa kumpa tuhuma za uongo (ulevi)
Wakati behind the scene ni kwamba baada ya yeye kukataa kuchanwa viwembe na mganga ambaye alikuwa anawahimiza wafanye hivyo ili wapate ushindi, club ikaamua kumsimamisha
Na msela amesema atasema ukweli ambao umepindishwa
Ndio tumefikia huku!!!Sawa cha msingi tumewapiga hayo kaeni nayo
Wazee wa robo finaliNdio tumefikia huku!!!
Usiku wa deni haukawaii kukuchaMechi imeisha Kama ulivyotuahid ahad n Deni
Mliyekarubu yake mwambien Wana jf tunasubiri
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Leo hakuna malalamiko ya yanga kununua MECHI 😂😂Kwani ni siri?
Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu
Kina mayele bado wana vidonda vibichi
Vipi leo GSM hawakutoa bahasha kwa kipa wenu kwa lile goli alilofungwa?Kwani ni siri?
Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu
Kina mayele bado wana vidonda vibichi