Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,053
- 2,757
Haya mawazo ndio yanatakiwa Sasa.Hii itasaidia hata viongozi kuwafuatilia na Pengine kuamua na pengn kuvunja Benji kupata saini.Kongole mkuu .Kama Simba wanataka kumsajili Ntibazonkiza wamepotea sana.
Kiwango chake hakimfikii mchezaji yoyote wa simba wanaocheza eneo lake, Saido hawezi kumuweka bench hata Miraji Athman Sheva hawezi kumweka benchi hata Cyprin Kipenye au Abdullazack Mohamed.
Kama anasajiliwa kuibomoa Yanga hata penyewe ni matumizi mabaya ya pesa kwani Saido ni injury prone na hana future kwenye kikosi cha Yanga.
Simba hatuna mapungufu eneo la attacking midfield tuna kila aina ya wachezaji wanaotupa dimension tofauti uwanjani.
Simba tunapaswa kujiandaa na kuzeeka kwa Wawa na Nyoni pendekezo langu nafasi ya Wawa.
1. Captain Solomon Banga wa Cotton Sports
2. Adrian Chama wa ZESCO United.
3. Timothy Awany sasa hivi yuko Uturuki alikuwa anacheza KCCA ya Uganda.
4. Mohamed Quattara wa Al Hilal ya Sudan.
Mabeki wote hao wanauzoefu mkubwa na ukiondoa Timothy Awany wengine wote ni good ballers hasa Adrian Chama
Captain Solomon Banga ana speed, mrefu kuliko Wawa na anafunga sana kwenye CHAN alifunga goli tatu na zote kwa set pieces
Hiyo ni picha ya Peter Muduhwa ila imefanyiwa editing
Nawashukuru viongozi wa Simba kwa kusikia pendekezo langu la kumsajili Tadeo Lwanga nililitoa mwaka jana kwenye uzi mojawapo humu ndani Sesten Zakazaka aliuanzisha mpaka sasa tumeshaona matunda yake.Haya mawazo ndio yanatakiwa Sasa.Hii itasaidia hata viongozi kuwafuatilia na Pengine kuamua na pengn kuvunja Benji kupata saini.Kongole mkuu .
Duuh!!Kumbe ulishamuona kabla hajatua Msimbazi??.Kama Ni ndio kwa kweli wewe Ni mtu muhimu Sana.Maana Thadeo Ni Kati ya wachezaji walio copy mapema kwny mfumo wa Simba.Kwa kweli sikupigii chapuo Ila Ningeomba viongozi wa Simba Kama watapitia Comment yangu wakuangalie kwa Jicho la tatu.Hasa kwny Scouting.Nawashukuru viongozi wa Simba kwa kusikia pendekezo langu la kumsajili Tadeo Lwanga nililitoa mwaka jana kwenye uzi mojawapo humu ndani Sesten Zakazaka aliuanzisha mpaka sasa tumeshaona matunda yake.
Duuh!!Kumbe ulishamuona kabla hajatua Msimbazi??.Kama Ni ndio kwa kweli wewe Ni mtu muhimu Sana.Maana Thadeo Ni Kati ya wachezaji walio copy mapema kwny mfumo wa Simba.Kwa kweli sikupigii chapuo Ila Ningeomba viongozi wa Simba Kama watapitia Comment yangu wakuangalie kwa Jicho la tatu.Hasa kwny Scouting.
hilo ndo suala kubwa issue wanaona kwamba mwambusi kamfukuzisha kaze mburundi mwenzao,akaonyesha ishara ya kwamba tumia akili ikamuudhi had kaseke kijana mpendwa wa mwambusi toka enzi za mbeya city,kumbuka mwambusi alimpa hadi kaseke u kapteni ambao baadae alipokwa kwa dharauSaido Kaonyesha nidhamu mbaya kwa Kocha mpya. Kukaa benchi ni kitu cha kawaida sana. Mbona Nonda Shabani alisugua benchi mbele ya Mohamed Husein kisha akaja kutoboa?.
Naona ni kama anahasira za kutimuliwa Kocha aliyemleta Bongo - Kaze, kama vipi aje huku Azam azibe nafasi ya Prince Dube anaejiunga Msimbazi mwakani.
unajua saido umri wake wa passport ni 33? 2002 kule arusha kwenye michezo ya rollingstone under-15 iliyowashirikisha hadi kina earasto nyoni wachezaji wa timu pinzani walikuwa wanamlalamikia saido ntibanzokiza kwamba ni mkubwa siyo under 15?Mzee tena! Tunataka tuwape na yule mwenzake Fiston, na pia tutawapa kwa mkopo Sarpong ili awasaidie msimu ujao. Maana yule Mugalu wenu hata akiachiwa goli peke yake, bado anakosa.
Boko na Kagere, mnafahamu wenyewe umri umewatupa kabisa!!
Lakini si tayarii tulishamsajili beki kitasa mzimbabwe Muduha ambaye nadhani ni mchezaji mzuri kwa nilivyomuona ChanKama Simba wanataka kumsajili Ntibazonkiza wamepotea sana.
Kiwango chake hakimfikii mchezaji yoyote wa simba wanaocheza eneo lake, Saido hawezi kumuweka bench hata Miraji Athman Sheva hawezi kumweka benchi hata Cyprin Kipenye au Abdullazack Mohamed.
Kama anasajiliwa kuibomoa Yanga hata penyewe ni matumizi mabaya ya pesa kwani Saido ni injury prone na hana future kwenye kikosi cha Yanga.
Simba hatuna mapungufu eneo la attacking midfield tuna kila aina ya wachezaji wanaotupa dimension tofauti uwanjani.
Simba tunapaswa kujiandaa na kuzeeka kwa Wawa na Nyoni pendekezo langu nafasi ya Wawa.
1. Captain Solomon Banga wa Cotton Sports
2. Adrian Chama wa ZESCO United.
3. Timothy Awany sasa hivi yuko Uturuki alikuwa anacheza KCCA ya Uganda.
4. Mohamed Quattara wa Al Hilal ya Sudan.
Mabeki wote hao wanauzoefu mkubwa na ukiondoa Timothy Awany wengine wote ni good ballers hasa Adrian Chama
Captain Solomon Banga ana speed, mrefu kuliko Wawa na anafunga sana kwenye CHAN alifunga goli tatu na zote kwa set pieces
walikuwa wamesajiliwa kwa miezi sita tu ila yeye na lokosa wamevunjiwa mkataba ,mwalimu kashindwa kuvunja patnership ya wawa na onyango, wamekula mshahara wa bure dollar 5000 kwa mwezi(times 4)wamekula bonus dah wametusua karibu 40,000 usd kila mtu kwa miezi 4Lakini si tayarii tulishamsajili beki kitasa mzimbabwe Muduha ambaye nadhani ni mchezaji mzuri kwa nilivyomuona Chan
Kuna taarifa niliziona kuwa Simba wameachana na beki Peter Muduhwa kutokana na yeye kukosa nafasi kikosiniLakini si tayarii tulishamsajili beki kitasa mzimbabwe Muduha ambaye nadhani ni mchezaji mzuri kwa nilivyomuona Chan
Hii mbona haijakaa sawa sasa nafasi angepata wapi na alikuja kwaajili ya klabu bingwa na hakuwahi kuaminika kutumika hata pale mmoja anapokosekana kati ya Wawa na Onyango ni Erasto Nyoni au Kennedy ndio walichukua nafasiiiKuna taarifa niliziona kuwa Simba wameachana na beki Peter Muduhwa kutokana na yeye kukosa nafasi kikosini
Kama ni hivyo mkuu njaakalihatari hawa wamepiga mpunga kiulaini sana kwa kufanya mazoezi tuwalikuwa wamesajiliwa kwa miezi sita tu ila yeye na lokosa wamevunjiwa mkataba ,mwalimu kashindwa kuvunja patnership ya wawa na onyango, wamekula mshahara wa bure dollar 5000 kwa mwezi(times 4)wamekula bonus dah wametusua karibu 40,000 usd kila mtu kwa miezi 4
Hakuwa beki mbaya ila ilikuwa ngumu sana kuwatenganisha hawa viumbe.Hii mbona haijakaa sawa sasa nafasi angepata wapi na alikuja kwaajili ya klabu bingwa na hakuwahi kuaminika kutumika hata pale mmoja anapokosekana kati ya Wawa na Onyango ni Erasto Nyoni au Kennedy ndio walichukua nafasiii
Naunga mkono hoja, jamaa katika mpira ni mbumbumbu na mkurupukaji kaanza kufuatilia mpira baada ya azam tv kuanza kuonyesha mpira live katika runingaWewe unaaminika kisiasa tu, lakini kimichezo wewe ni kanjanja kama Musiba.