Saido Ntibazonkiza amemzidi Mayele kwa vigezo vya ufungaji bora, tuache siasa

Saido Ntibazonkiza amemzidi Mayele kwa vigezo vya ufungaji bora, tuache siasa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badoo kamati ndo itakaa na kuamua kwa vigezo ambavyo wako wataona vinafaa.
FyNH2AgX0AUufQQ.jpeg
 
Sasa jaman maele aondoke bongo bila kiatu,acheni uonezi muoneeni huruma mumpe,anasema hana goli la penati,akati alishawahi kosa tuta,sasa kama angepata lile tuta sjui angesemaje.
 
Kwann Ntibazonkiza anastahili ufungaji bora baada ya kufungana sawa na Mayele? Hizi ni sababu ambazo Bodi ya Ligi inapaswa kuzizingatia.

1.Saido alikuwa Geita Gold, mzunguko wa pili amehamia Simba, hivyo kujiunga na timu mzunguko wa pili na kisha ukafunga mabao 13 katika timu mpya ni dhahiri anastahili ufungaji bora.Mayele amecheza Yanga mwanzo mwisho.

2.Saido ameondoka na hatrick mara 2 ukilinganisha na Mayele.

3.Saido ana assists 12 Mayele 4

4.Saido ni kiungo mshambuliaji wakati Mayele ni pure striker lakini kiungo mshambuliaji kafunga mabao sawa na real striker.

5.Saido kacheza mechi chache ukilinganisha na Mayele.

6.Saido amefunga mabao 5 mechi moja, Mayele hajawahi kufikia rekodi hiyo.

7.Saido amefanya maajabu hayo dakika za mwisho na hivyo kuibua hisia kali had Yanga wakaamua kumsafirisha Mayele kwa ajili ya mechi ya mwisho.

Wale wanaobisha kwa facts, waje waniprove kwa kuweka vigezo vyao kwann Mayele apewe badala ya Saido.Napokea maoni.
Unatumia nguvu kubwa sana, mbona husemi idadi ya penati? Au kwani kanuni au taratibu zikoje? Jambo lenye uhalisia mara zote linajitosheleza, ukiona unatumia nguvu kuaminisha/kushawishi watu basi jua kuna walakini.
 
Back
Top Bottom