Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

kiboko ya nyani.[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh!!
 
Kuwa tu SHOGA ni kutojitambua mno. Haya maneno mnatakiwa mjifunze kuyatumia,yaani Mtu shoga halafu unamnasibisha na "Usmart". Unakosea sana.

Ungekuwa muungwana ungefuta ulichokiandika.
 
Basi Biblia yenyewe nao ni wapuuzi?

Mbona ilimtaja Yusuph..jamaa kaleta hoja ya kisaikolojia ilivyo.

Wewe hujapinga kwa hoja..matokeo yake unapoyoma tuu humu.
Acheni ujinga wa kutumia vitabu vya dini kusapoti ushoga na hata hizo sifa za kichoko mnazotaja huwezi fananisha na Yusuph
 
Hahahah vijana tafuteni PESA hayo yote yatakuja
Iwe kusifiwa..kushobokewa hahahahg[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]fu*k pesa
 
Kwamba humu mnajuana hadi majina??
 
Hahahahahahahahahaahah
 
Nina mdogo wangu anasumbuliwa vibaya mno na shoga flan halafu huyo shoga yupo ofisi moja na mjomba wetu hapa tunamtiatia mikwara asipoelewa tutafikisha taarifa kwa ankor ushahidi wote tunao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi huyo shoga kuna sehemu hayupo vizuri, yaan anakwama wapi had kumsumbua mdogo wako.
 
Kuwa tu SHOGA ni kutojitambua mno. Haya maneno mnatakiwa mjifunze kuyatumia,yaani Mtu shoga halafu unamnasibisha na "Usmart". Unakosea sana.

Ungekuwa muungwana ungefuta ulichokiandika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh sanaah.
 
Wewe ni shoga ?

Jambo ambalo hata hayawani hawalifanyi,seuze mwanadamu unalifanya bado unaona sawa au huelewi ninachokiandika nini ?

Hii pole ya nini ?
Poleeeeeeh kwa kuteseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu we mmoja wao nini make kwa maongezi yako rangi imejidhihirisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…