cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hili ni swali au maelezo?Mkuu we mmoja wao nini make kwa maongezi yako rangi imejidhihirisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni swali au maelezo?Mkuu we mmoja wao nini make kwa maongezi yako rangi imejidhihirisha.
A na B yote ni sawaHili ni swali au maelezo?
Wewe acha tu mimi pia najiuliza swali hilihili dogo mwenyewe mwanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi huyo shoga kuna sehemu hayupo vizuri, yaan anakwama wapi had kumsumbua mdogo wako.
PoaaaahA na B yote ni sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeh yake sana huyo mdogo ako.Wewe acha tu mimi pia najiuliza swali hilihili dogo mwenyewe mwanafunzi
Duuh ktk hizo zote sina hata moja ,labda kwa mbaaaali hiyo ya kutusifiwa huenda ikafanananami[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeh yake sana huyo mdogo ako.
Basi ww mzuri,si ndio unataka usifiweUmekufa akili (intelligence)unatembelea ubongo tu (brain)
Nakubaliana na wewe kwa 100%,
Umepatia kwa asilimia zote..ndo maisha ninayopitia toka nikiwa mdogo mpaka leo niko mkubwa...yaani mdada anakutega anachoka anakuambia ukweli,ukikataa anakulilia mpaka basi...mara mwingine akuambie nataka unizalishe tu nitalea mwenyewe...fb na insta meseji zinajaa za salamu na kuomba namba...
Tumeshajua ww ni mzuri hivyo lipia tangazoKuna watu watabisha,ukiwa handsome utajua tu...binafsi nayapitia haya wala sikupingi...yaani ukiamua unaweza kuwa na wanawake saba wapya kwa wiki...yaani mimi nimekua muoga yaani sina mazoea na wanawake tena maana nikizoeana nao tu wanataka mahusiano...bahati mbaya niko selective sana so mara nyingi nareject na hakuna watu wanachukia kukataliwa kama wanawake asiee...uhandsome ni adhabu
Halafu unajiita eti upo smart,are you serious kwelii?Poleeeeeeh kwa kuteseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chakula ya wakubwa hio mkuuMkuu we mmoja wao nini make kwa maongezi yako rangi imejidhihirisha.
Kwa kuwa huu uzi unaongelea sana saikolojia,bahati mbaya nimejikuta mwana saikolojia kuamini wewe ni BWABWA [emoji817].Sijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,
Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea [emoji23][emoji23][emoji23].
Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,
Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......
Nakubali mkuuChakula ya wakubwa hio mkuu
1:-.........Sijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,
Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea [emoji23][emoji23][emoji23].
Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,
Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......
1. Shoga1:-.........
2:-.........
3:-........
4:-........
5:-.......
Jazeni nafasi zilizoachwa wazi, Kila swali moja maksi 20
Inawezekana ww n mmoja wapo maana unawajulia sanaSijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,
Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea [emoji23][emoji23][emoji23].
Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,
Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......
aiseee...yaani unatongozwa hivi hiviNakubaliana na wewe kwa 100%,
Umepatia kwa asilimia zote..ndo maisha ninayopitia toka nikiwa mdogo mpaka leo niko mkubwa...yaani mdada anakutega anachoka anakuambia ukweli,ukikataa anakulilia mpaka basi...mara mwingine akuambie nataka unizalishe tu nitalea mwenyewe...fb na insta meseji zinajaa za salamu na kuomba namba...
kwa hiyo ukimkataa inakuwa beef?Kuna watu watabisha,ukiwa handsome utajua tu...binafsi nayapitia haya wala sikupingi...yaani ukiamua unaweza kuwa na wanawake saba wapya kwa wiki...yaani mimi nimekua muoga yaani sina mazoea na wanawake tena maana nikizoeana nao tu wanataka mahusiano...bahati mbaya niko selective sana so mara nyingi nareject na hakuna watu wanachukia kukataliwa kama wanawake asiee...uhandsome ni adhabu
Suala la ushoga ni gumu. Top kumfuata bottom na ikiwa sio ataonekana amedharau, bottom kumfuata Top ni simple hata ikiwa mtu hayuko interested haiharibu sanaSijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,
Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea [emoji23][emoji23][emoji23].
Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,
Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......